Huyo anayesema wanafunzi wakitanzania wapumbavu,mpumbavu yeye na familia yake kwanza kama ni mwanaume amekosa hekima kabisaaaaaaa,kama NI mwanaume Sijui anaishije na mke wake Kama hajaoa namshauri asioe kwasababu hana utaalamu wa kuendesha familia
Mhhhh sheikh acha acha udini CCM inahusiana vipi Na sheikh Ponda Mbona raisi ni Muslim na Mbona muendesha mashitaka ni Muslim ukabila Sisi ni ndugu acha kabisa
Wanawake wazuri wapo serikalini tena wengi inawezekana umeenda serikali za vijiji nenda TRA,TIB,BOT,WIZARA YA KAZI,MAHAKAMA KUU ETC hizo ni baadhi tu wakati mwingine kujifanya hujui kitu ni bora
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.