KILIVITE
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 1,302
- 555
Anayejitahidi kuficha udhaifu wake wa kuzungumza Kiingereza ambacho hapa kwetu ni lugha ya Kiofisi na lugha ya biashara kwa kuchomekea lugha za jadi.Tanzania imeingia katika historia maana almanusa tutachagua Dikteta na Mbumbumbu bingwa wa kukariri na wala sio kuelewa.