Recent content by Green Koryo

  1. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...
  2. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hawana vijana wa wenger orphans wanatabu sana. Kila msimu wanatia sana. Huruma[emoji23][emoji23]. Hakuna kitu kinauma kama kuwa kwenye form misimu miwili then una achieve zero trophy 0 inauma snaa aisee
  3. G

    KERO Hali ya kuvuka Kigamboni si shwari, tunalazimika kuvuka kwa mitumbwi

    Waziri wa Uchukuzi ni Mbalawa Makame mtafute
  4. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Chelsea ikishiriki kombe lolote la Ulaya lazima abebe. Ninyi mmeshiriki makombe ya ulaya marangapi na mmeshinda mangapi? Ninyi kule mnaenda kuzurura tu. Hamna lolote[emoji23][emoji23][emoji23]. Chelsea itabeba kombe kubwa kabla yenu subiri uone
  5. G

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Vitu kama ivi mashabiki wa Asernal, manure na Liverpool hawawezi kusoma. Wao wanataka habari nyepesi nyepesi kama zile za udaku. Hamisi kwa sasa amewakimbia amewajaza mashabiki wa Arsenal umbea umbea sasa kawakimbia
  6. G

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Ubingwa wa nini mnataka kuchukua?
  7. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hamisi chambuzi la KIFIFA yupo wapi siku hixi huu ndiyo muda wa kuleta chambuzi sasa. Tufarijike kama wanachama. Aerial due win, mara sijui nini Hamisi plz we need your analysis so far
  8. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenali mnabeba ubingwa lini?. Acheni mambo ya project mara fesi fooo fesi thiriii na fesi faivuu
  9. G

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Nakubali kaka. Mpira ni burudani. Tuendelee kuburudika
  10. G

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Sasa bro na wewe arsenal unakuja kwenye uzi wa man city anayekuzidi kila aina ya makombe kusema makombe mtayasikia redioni!? Bora hata mimi shabiki wa Chelsea niongee[emoji23][emoji23] naamini Chelsea atabeba ubingwa kabla yenu pamoja na kuwa bora misimu mitatu mfululizo
  11. G

    The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

    Hayo ni mengineyo. Kilichohitajika ni kombe hayo mengine ni promo tu[emoji23][emoji23][emoji23] ila Man u waliwachezea mpira wa kiuni kweli
  12. G

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Arteta ni saizi yenu. Sisi ni wazee wa makombe tu. This time tumetoka kapa next inatakiwa tupate kombe lolote.
  13. G

    CRDB bank ni noma, mashine pekee ya wakala wananipa kwa milioni moja

    Sasa 220,000 si sawa na bure ama[emoji23][emoji23][emoji23]
  14. G

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Arsenal msipo chukua kombe nitawashangaa sana. Misimu miwili mpo on fire lakini mnatoka bila hata kombe la chai? Mnaotofauti gani na Chelsea ambaye hayupo kwenye form? Na Chelsea anaweza kupona akabeba kombe hata kabla yenu mlioko kwenye...
  15. G

    CRDB bank ni noma, mashine pekee ya wakala wananipa kwa milioni moja

    NMB ni 1,106,000. NBC ni Bure Kipindi nachukua CRDB nililipia 265,000 kwa ajili ya Mashine naona sasa imepanda
Back
Top Bottom