Recent content by Green Bird

  1. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Islamic Dressing

  2. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Fataawa Za Wanachuoni Mbalimbali Kuhusu Ramadhwaan

    Fatwa Kutoka: ‘Allaamah Swaalih Ibn Fawzaan Al-Fawzaan Swali: Tunataka uwape vijana Nasaha kuhusiana na kuchunga wakati wao katika Ramadhaan? Jibu: Waislamu wote sawa Vijana na wengine wote wanatakiwa kutumia wakati wao katika kumtii Allaaah – wala Ramadhaan isiwajie kwa ghafla, au ikawakuta...
  3. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwaajili ya Mindanda/Mchiriku

    Kitambo sana mkuu
  4. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwaajili ya Mindanda/Mchiriku

    kama wewe ni mfuatiliaji wa minanda au mchiriku utakuwa unawajua magwiji kama Mpogo, Jangwa, 7 Surviver na wengine kibao naomba tupeane ladha kupitia uzi huu kwa kuweka minanda nami nitajitahidi kila siku kuweka zaidi kadri nitakavyofanikiwa kuinasa Jagwa, Ngoma inakwenda kwa jina la Asha...
  5. Green Bird

    JamiiForums Tanzania JamiiForums V.A.R

    [emoji849]
  6. Green Bird

    JamiiForums Tanzania JamiiForums V.A.R

    [emoji41]
  7. Green Bird

    JamiiForums Tanzania JamiiForums V.A.R

    Kadamshi ngozi
  8. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Nimetengeneza App kwaajili ya Mapishi naomba maoni yenu

    Mapishi is the application that intends to facilitate Swahili speaking people to have these recipes at their convenience https://goo.gl/novKRA
  9. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika halwa (halua)

    sawa mkuu
  10. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika halwa (halua)

    Vipimo Tambi za Mchele - Pakti 1 (400 mg) Tui la nazi - Kikombe 1 Sukari - Nusu kikombe, ukipenda ongeza kidogo Maziwa ya kopo (evaporated) - Nusu kikombe Samli - Kijiko 1 cha supu Zabibu kavu - ¼ Kikombe Liki - ¼ kijiko cha chai 'Arki (rose flavour) - Matone matatu au zaidi Namna Ya Kutayarisha...
  11. Green Bird

    JamiiForums Tanzania Uhusiano kati ya Uislamu na kufuga ndevu nyingi

  12. Green Bird

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukikataliwa ni neno gani unalosema

    Nipendwe na kila mtu nimekuwa pesa
  13. Green Bird

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sijui nitatokaje hapa

    Sasa kwanini usingeniambia unakuja kumtangazia nani huku?
Back
Top Bottom