MgungaMiba
JF-Expert Member
- Aug 28, 2011
- 999
- 815
Una maana Bwana Yesu pia alifuga uchafu?huo ni uchafu tu hata kama mtakuja kutokwa povu hapa,kutwa kututapisha!
Una maana Bwana Yesu pia alifuga uchafu?huo ni uchafu tu hata kama mtakuja kutokwa povu hapa,kutwa kututapisha!
Mkuu denda ni aina ya zoezi la kimwili linalohusisha mdomo wa mwanamke na mwanaume.Denda ndiyo nn?
Juhudi ya kupata mbunye mjazo.72..
Kapicha tafadhali ili nione. Maana mwenzio sijui hiyo dendaMkuu denda ni aina ya zoezi la kimwili linalohusisha mdomo wa mwanamke na mwanaume.
Hormones za kiume zimekuwa nyingiJe nywele za huyu zinaongeza nguvu za nini...?
View attachment 530366
Andika vizuri maana sijakuelewa bado, "unauliza nini?"Tulia wew...nani kawazaa??
Dini ya kiislam sielewi wanachokiamini ni nini? Nikiona Al shabab, Isis, boko haramSasa hebu tuangalie Nabii Isa ambaye wakristo wamemchukua kuwa mungu. Tuangalie mavazi yake na mwenyewe kuhusu ndevu.
Kwa kifupi hata wakristo kitabu Chao kinase ma kuhusu kufunga ndevu. Na kina wafiki. Muhimu soma. Kuvaa kanzu pia Nabii issa (yesu) amevaa..
Na lazima.unuwe tofauti kati ya ndevu za waislam na mayahudi na singa singa .muislam hafugi sharubu na ndevu zake hasizibi mdomo. .wayahudi wanafuga ndevu na sharubu. Singa singa ndevu na sharubu.
Kuhusu viatu sioni u baya wake ila naona faida yake kubwa kuvaa viatu vilivyo wazi .
Uzuri wa Waislam wanafuata mwenendo wa mtume wetu mpenzi .na ilikuwa rahisi kwani maisha yake yote yalikuwa kitabu kilicho funguliwa A (open book)
Hakuna mtume yoyote mwengine alokuwa na record ya maisha yake .
In short waislam waumini wanafuata mwenendo wa mtume. Waislam wa jina tu wanafuata yao na ya wazungu .wakristo wanafuata paulo si yesu ..wayahudi kwa kiasi wanafuata ya musa lakini kw a kiasi kidogo sana .
Unaongea dining kiislam au waislam ?jua tofauti kama walivyokuwa wakristo. Na tofauti zao .Dini ya kiislam sielewi wanachokiamini ni nini? Nikiona Al shabab, Isis, boko haram
Tunakusubiri wewe ututamkie Tu ,mwenzako ndio huyo ,do it , padri