Ww waganga wote wa tangaHakuna demu anakataa.
.....mi mademu wote wanaojifanya wagumu nawaandaliaga mpango maalum lazima niwapate....CJAWAHI KUKATALIWA
Hamna mkuu ni maandalizi tu na mikakati na kutokuwa na roho ya kushindwa sio ugangaWw waganga wote wa tanga
Na,sumbawanga nafkir wanakujua