Sahihi broo Kwanza magari yaliyopo yanafanya kaz ipasavyo then waongeze, alafu kukopa pesa V8 zao mbona hazna production yyte na zina bajeti husika inamana swala la mabasi lenye kuleta faida ndo Hadi wakope?
Tafuta watu ucku ingia nao ndan mmevaa kama waganga wa kienyeji af mkifika wambie wazee kafara yangu kwenu ndo hii naomba achinjwe haraka Sana zuga kumshika Kwa nguvu af mpen nafac mpishen akimbie ***** hatud tena mcndikize na ubapa wa panga
Biblia ipi haimtaji shetani katika agano la kale ayubu ule ugonjwa wa mapele alipewa na Nani? na hicho kitabu cha ayubu ni kinapatikana katika agano lipi kwny Bible?
Habarini jamani,
Kuna binti niliwahi kuwa katika mahusiano nae miaka ya nyuma kipindi tupo secondary lakini mahusiano yetu yalivunjika mara baada ya sote kujiunga na chuo
Kwa sasa ni mke wa mtu na siku moja alinipigia na kunipa habari kwamba kwa sasa ameolewa hakuwa na namba yangu lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.