Recent content by grandmandela

  1. G

    Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

    To be seminarists its unique chance.... thank you all rectors
  2. G

    TRA's Kitilya to retire from public service, Blandina Nyoni or Dr. Dau to take over...

    Mleta mada its so brainwash kwa mada mfu tena haina tija kwa watanzania. utabagua hata wafamilia yako.
  3. G

    SUA KwELI MAJANGA

    Tatizo vilaza kazi yao nikukashfu vyuo...sasa wewe kunywa juisi usubiri kufaulu
  4. G

    Mwesigwa-katibu mkuu tff

    Ni msomi sawa.tujipime tusikurupuke
  5. G

    Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Nchi hii ni ya makabila yote takribani mia na ishirini na kitu,pia serikali kupitia taasisi zake itoe elimu watu wachache waache uhuni na kujidai kuangalia kigezo cha elimu. hatupendi kuamini sana vigezo hivyo bila kuwepo uzalendo.hata hii taasisi ya michezo ijichunguze mwenendo wake Nawatakia...
  6. G

    Ukabila TFF: Jamal Malinzi jibu/fafanua hili kabla sumu haijaenea

    Nimekuwa na mashaka makubwa sana na mwenendo wa Taifa letu hasa suala la ukabila linaanza kushika mizizi kwenye sekta zote ni hatari sana, pia busara zitumike na hekima itafika mahali makabila madogo tena yasiyo na wasomi yakapoteza uhalali na umiliki wa taasisi mbalimbali.tujichunguze sana
  7. G

    Habari gani uliiona kubwa kwa mwaka 2013? (Kimataifa)

    The most historically iliyojitokeza kimataifa na Duniani kote about Madiba, wakili msomi, Rais Nelson Mandela Tata... Guinness book must quoted these
  8. G

    ...Balozi Khamis Kagasheki katika hili umeonewa hatia yako siioni bado

    Tutambue amewajibika hata kama hana kosa bado ataheshimika ndani na nje ya nchi. ila bunge letu lisitumiwe kama genge la baadhi ya wahuni wakijinasibu wanatetea wananchi wakati wao wametumia mbinu chafu kusaliti operesheni yenyewe.
  9. G

    ...Balozi Khamis Kagasheki katika hili umeonewa hatia yako siioni bado

    No comment for these saga akumbuke marehemu Baba askofu Laizer aliwahi kusema wakati wa kumpokea mh Lowasa Monduli wakati amejiuzulu/ amewajibika(collective responsibility) alitahadharisha wanasiasa Lowasa ni sawa na kuni ambayo imeungua jikoni lakini ziko kuni nyingine zitaungua tu hata kama ni...
  10. G

    Mbeya: Wananchi wenye hasira wachinja hadi kuua watoto wawili wa Diwani wa CCM

    Ni ishara mbaya sana watu kujichukulia sheria mkononi haipendezi,ni wajibu wa vyombo husika kuwajibika tusiruhusu siasa mufilisi kuleta maafa,
  11. G

    Wapiga kura Monduli wanalia,wanashangaa harambee kwa mamilioni za mbunge wao

    Kwanza tuwe na busara katika majimbo yaliyoakisi maendeleo haraka ni pamoja na Monduli.tatizo hatufanyi tafiti kuna jengwa hospitali ya kisasa,barabara zimejengwe, maji yapo na yametokea mbali arumeru magharibi, shule zipo kila kata tens zina mazingira bora na sio bora mazingira.Tusimhukumu mtu...
  12. G

    Nani aweza kuwa kushika dola 2015, je ni ccm au cdm? Why?

    Bado tuna muda wa kutafakari na kufanya maamuzi sahihi. tatizo la wengi wetu tunafanya maamuzi wakati hamna tafakuri ya kutosha.kuchukua dola si lelemama tunahitaji watu makini tena na chama chenye haiba ya kweli si wapiga dili au wahafidhina kama makaburu waliomtesa Mzee wetu Madiba.
Back
Top Bottom