Mi mzaliwa wa Monduli mkuu Nicholas uliyoyaongea machache yana ukweli ...na bahati nzuri nshatembelea sehemu nyingi za wilaya hii kwa mjini lami zimewekwa hadi njia zisizostahili ...shule kabla ya za kata zilikuwepo nyingi Sana hadi zenye high school Makuyuni ikiwa mfano ....zahanati kwa kweli labda hapo Engaruka tu lakini kila eneo lina zahanati mfano Monduli juu , mto wa mbu ..makuyuni ....n.k tunayo mahabusu nzuri tu Sema ya zamani ....mbunge wetu tulimdai Sana maji na hospitali nzuri kwa kweli amejitahidi. Hayo makanisa kwetu yapo vizuri tena kama kkkt imejengwa juzi tu mkuu ni nzuri Sana. Mzee ni mchapakazi na hadii ukihitaji kumwona personal unaenda .....hii ni baadhi tu usihoji watu njiani we njoo mwenyewe ...mwaka mpya huwa pana sherehe kubwa tu karibu siku hiyo.
Wapiga kura za Monduli wameanza funguka rasmi.
Wale wanaotoka Engaruka na maeneo mengine yasiyo na mawaziliano wanalia na mbunge wao kuwa,ana visasi na ubabe.Walimwomba ashughulikie suala la minara ya simu .Jamaa akawaaambia voda,wakasema wametumia airtel,na tigo na hivo kuomba nao wawekwe.Mbunge wao akaja juu na kuwaambia km ni hivyo wasahau.Hadi leo wanalia kuwa ndicho anachowaadhibu nacho.Wanauliza anatakaje urais kwa style hii?
Matatizo mengine yanayoliliwa ni haya:
-Monduli hakuna mahakama, watu wanawekwa ktk magodown mara wanapokamatwa.
-monduli hakuna hata mahakama za mwanzo.
-Monduli hakuna zahanati nje ya pale mjini na hakuna hata mpango wa kuweka hata ya chini ya mil 4 tuu.
-Monduli hakuna vituo vya polisi zaidi ya vya mkoloni.
-Polisi hawana nyumba na waliopata hifadhi ni nyumbaya national house iliyochoka na hivyo polisi kugawana kwa pazia.Hao ndio polisi wanamfanyia kazi huyu mbunge.
-Raia wa monduli wanalia na mikopo wanayopewa na mbunge na kuwafanya watumwa baada ya kutolipika.
-Raia wanalia kuwa hela za halmashauri mbunge wao anazichukua km zake na kuzifanyia kazi za kumuandalia urais.
-Monduli haikuwa na shule hadi ujio wa shule za kata, na kwa shehemu kubwa mashirika ya misaada.
-Monduli ina barabara mbaya sana nje ya ile ya lami kufikia makao makuu.
-Monduli wanashangaa hawana makanisa na wanashangaa kusikia mbunge wao ana harambee ktk makanisa mengine kubwa tuu.
-wanashangaa mbunge wao hata Arusha mjini hakuna kanisa lenye hadhi ya mbwembwe zake.
Kuna mengi sana watu wanalia na monduli,huku wakijaribu tuhakikishia wasikilizaji kuwa Kambi ya Jeshi, mabaki ya mkoloni, mashirika ya dini etc ..ndio yaliyofanya haya yanayoonekana sasa Monduli.
Watu wanafunguka na wanafunguka vibaya.Wanasema wanachukia sana dhiki waliyo nayo huku,mbunge wao akionyesha uwezo w akufanya harambee kubwa kila mahali ila si jimboni kwake,ambao harambee moja ingeokoa uhai na shida kubwa sana kwa raia.
Source: wapiga kura niliowahoji ,na kuhakikishiwa na waliofika sehemu mbalimbali za jimbo hilo.
Kabla ya kuandika thread tafakari kwanza. Sasa umeingia 'choo cha kike' huna pa kutokea.wewe unajua ipi?
Wapiga kura za Monduli wameanza funguka rasmi.
Wale wanaotoka Engaruka na maeneo mengine yasiyo na mawaziliano wanalia na mbunge wao kuwa,ana visasi na ubabe.Walimwomba ashughulikie suala la minara ya simu .Jamaa akawaaambia voda,wakasema wametumia airtel,na tigo na hivo kuomba nao wawekwe.Mbunge wao akaja juu na kuwaambia km ni hivyo wasahau.Hadi leo wanalia kuwa ndicho anachowaadhibu nacho.Wanauliza anatakaje urais kwa style hii?
Matatizo mengine yanayoliliwa ni haya:
-Monduli hakuna mahakama, watu wanawekwa ktk magodown mara wanapokamatwa.
-monduli hakuna hata mahakama za mwanzo.
-Monduli hakuna zahanati nje ya pale mjini na hakuna hata mpango wa kuweka hata ya chini ya mil 4 tuu.
-Monduli hakuna vituo vya polisi zaidi ya vya mkoloni.
-Polisi hawana nyumba na waliopata hifadhi ni nyumbaya national house iliyochoka na hivyo polisi kugawana kwa pazia.Hao ndio polisi wanamfanyia kazi huyu mbunge.
-Raia wa monduli wanalia na mikopo wanayopewa na mbunge na kuwafanya watumwa baada ya kutolipika.
-Raia wanalia kuwa hela za halmashauri mbunge wao anazichukua km zake na kuzifanyia kazi za kumuandalia urais.
-Monduli haikuwa na shule hadi ujio wa shule za kata, na kwa shehemu kubwa mashirika ya misaada.
-Monduli ina barabara mbaya sana nje ya ile ya lami kufikia makao makuu.
-Monduli wanashangaa hawana makanisa na wanashangaa kusikia mbunge wao ana harambee ktk makanisa mengine kubwa tuu.
-wanashangaa mbunge wao hata Arusha mjini hakuna kanisa lenye hadhi ya mbwembwe zake.
Kuna mengi sana watu wanalia na monduli,huku wakijaribu tuhakikishia wasikilizaji kuwa Kambi ya Jeshi, mabaki ya mkoloni, mashirika ya dini etc ..ndio yaliyofanya haya yanayoonekana sasa Monduli.
Watu wanafunguka na wanafunguka vibaya.Wanasema wanachukia sana dhiki waliyo nayo huku,mbunge wao akionyesha uwezo w akufanya harambee kubwa kila mahali ila si jimboni kwake,ambao harambee moja ingeokoa uhai na shida kubwa sana kwa raia.
Source: wapiga kura niliowahoji ,na kuhakikishiwa na waliofika sehemu mbalimbali za jimbo hilo.
mleta mada acha uongo mimi kwetu ni monduli,nimezaliwa huko,nimesoma huko ,na nyumbani kwetu ni sinoni monduli ,hakuna hizo shida ulizoziandika hapo ,monduli imepiga hatua katika wabunge,waliofanya vizuri jimboni kwake ni mbunge wetu ,ukiachilia mbali mambo ya kisiasa ,tunajivunia mbunge wetu,na mji wetu,tuulize sisi monduli ulikuwa unaenda kutafuta maji asubuhi unarudi usiku saa 4 na ndoo moja ya maji leo, maji yapo ,huko unakokusemea kunachimbwa kisima kikubvwa kabisa cha maji na ushaidi upo,jamani penye ukweli ni lazima tuseme ukweli tuu.ya ngoswe tumuachie ngoswe mwenyewe.
Mkuu ww ni mkongwe sana katika hii jukwaa! inakuwaje unakuja na story isiyokuwa na reliable sources? kama uliwahoji weka ushahidi na vielelezo!! U have been with us since 2006 as GT
Jamani unatumika kama.condom unakubali? Mimi nimefika monduli karibuni huo.ujinga unao.post haupo.monduli,Monduli ni wilaya ya mfano tz kwa hatua.kubwa za kimaendeleo,ukisosa cha.maana cha.kuandika.siyo.lazima upost
Hamjui kwamba monduli is too small for el? ANAITAKA TANZANIA SIO MONDULI
miaka yote hiyo , kisima kinachimbwa leo ? Kumbe hata hakijaisha ? Sasa unachobisha nini ?