ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,310
- 4,040
Duh! Sasa watoto wamekosa nini hapo jamani? Wamewachinja? Mbona nchi yangu nimeanza kuiogopa sasa? Wananchi wenye hasira kali wanachinja watoto jamani duh!
Tatizo la polisi wana njaa na wanendekeza rushwa.Integrity yao imeshuka sana na hawana uzalendo kabisa.Ndio maana mambo kama haya yanaendelea kwa kasi ya ajabu.Mungu aihurumie hii Nchi ya Tanzania.Mirembe watapelekwa viongozi wako
POLISI LAZIMA WAMALIZE HUU UPUUZI , nyie kenge mkiachiwa mtasababisha uvunjifu wa amani
Unadhani hiyo ndio dawa? hakuna amani bila HAKI kutendeka.na bado subirini kiama chenu mizigo kama hakutakuwa na UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA,hakika mtajibeba na mtambue kuwa tumechoka kuburuzwa na hicho chama chenu cha MIZIGO! She3nzzzz tayipu
Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.
Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.
Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.
Haya sasa! Juzi ni Jijini Mwanza leo ni huko jiji Mbeya. Kazi ipo jamani!
Mkuu wangu Idawa nadhani kuna sehemu unachanganya mambo, hasa kwenye heading...
Watu wasiojulikana hawawezi kuwa wananchi wenye hasira...Wananchi wenye hasira ni kama wale wa Kisesa-Magu waliomponda kwa mawe Clement Mabina hadi kuuawa...
Na hao wa Tunduma kama walikuwa na hasira na Diwani aliyewadhulumu wangemshambulia yeye na kumdhuru lakini si kuvizia baba na mama hawapo kisha wanamchinja mtoto mdogo wa umri wa miaka 6 na kumnyonga kwa waya msichana wa kazi...Kimsingi aliyechinjwa ni mtoto mdogo wa miaka 6 na aliyenyongwa ni msichana wa kazi wa Diwani huyo...
Si vibaya ukaweka heading kuwa 'Watu wasiofahamika wawaua watoto wawili wa Diwani wa CCM'...
Uwezo wako ni mdogo sana mkuu, hata mende anakuzidi!
Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.
Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.
Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.
Watu wasiojulikana wamewaua watoto wawili,mmoja akiwa ni binti wa kazi wa Diwani wa CCM kata ya Mkingamo wilaya Momba mkoani Mbeya.
Chanzo cha mauaji inasemekana ni dhuluma ya viwanja kwa wananchi wa kawaida.
Habari zaidi zinasema kawadhurumu wananchi viwanja vingi sana,wakati mwingine huuza kiwanja kimoja kwa zaidi ya watu watatu.
Inasemekana hata ukimpeleka mahakamani anakushinda kesi,kifupi ni kuwa mahakama aliiweka mfukoni.