Recent content by Grahams

  1. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Ule ukimwi wa miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2000 ulikuwa hatari mno, mtu hata kama ulikuwa na kilo 120 unajikuta unapelekwa kaburini na kilo 15 🙌😢 Hahaha.......kumbe kuna haja tukumbushie, old is gold 😉
  2. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Hatari, ukikutana na mwana unajifanya kama sio wewe vile 😂
  3. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Na ukiwa umenyooka sana wanaweza kukuona jau Yaani tumezoea, ubabaifu kwa kila kitu 🙌
  4. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Tukio la mstaafu kupeleka Pensheni yote kwa nyumba ndogo Mwaka fulani, mstaafu mwenzangu mmoja aliyeitwa Mzee Masanja(Sio jina halisi) ambaye kimsingi aliwahi kustaafu miaka mitano (5) hivi kabla yangu, alikuwa amepokea pensheni yake kiasi cha kama shilingi milioni 103. Miaka ile mstaafu...
  5. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Kabisa Mkuu, ila suala la uaminifu ni mtaji muhimu sana kwenye maisha ya utafutaji
  6. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Sahihi, huyo unaweza kupita naye tu 😜
  7. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Mimi kuna mahali nilifanikiwa kukataa Alikuwa girlfriend wa rafiki yangu, nilipima faida na hasara za kulala naye, nikachagua kutokulala naye maana nilijua madhara yake yangekuwa ni makubwa kuliko utamu wa masaa mawili ambao angenipatia
  8. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Kabisa Mkuu, bora umalizane naye mapema Tangu wakati ule, nimekuwa mwoga sana kufanya biashara ya pamoja, maana wabongo hawachelewi kukuliza
  9. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Saivi Ingekuwa tushamsahau kama ilivyokuwa kwa Agness Masogange
  10. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Ilichagua njia nzuri kudeal naye
  11. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Bado namkumbuka, alikuwa hana habari na mtu labda itokee umkwaze kiasi cha kutovumilika Kwahiyo umehamia mtaa gani sasa, fanya kupitia weekend unitembelee babu yako 🤭 Hahaha...........useme nilikuwa mwoga wa ngwengwe, si unajua bure ghali Hivi hao mabinti wa zamani mlikuwa mkifahamiana...
  12. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    koh koh koh 😂
  13. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    pole sana Ila hakuna kitu wanaume tumeshindwa kuvumilia, kama kukosa tendo kwa binti uliyemmendea kwa muda mrefu tena mkiwa naye chumbani kabisa Yale mambo ya ubakaji ndiyo yanatokea hapo, wenzetu wazungu wana heshimu hili, lakini sisi wabongo sio rahisi hata kidogo
  14. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Kuna sehemu nilienda, nikakuta Dada mmoja anapiga nyanga kummaliza business partner wake Nikasema hii Nchi usimwamini mtu, even mabinti nao wamekuwa mafia Usikute unataka kutumia njia ya elimination mkuu
  15. Grahams

    JamiiForums Tanzania Matukio na Masimulizi ya Wazee wa Mwaka 47

    Hizi nafasi huwaga chache sana, ukifanikiwa kuipata na ukaweza kujituliza unaweza ionja pepo ukiwa hapahapa Duniani 😜
Back
Top Bottom