Recent content by Grahams

  1. Grahams

    15 Zimbabweans Killed After Being Lured Into Russia-Ukraine War, 66 Still Trapped in Conflict

    Duh, hiyo hatari aisee Na kwa Hali ya maisha yetu ilivyo tight, wengi wanaweza kujiunga humo majeshini iwapo ofa za namna hiyo zinaweza kutolewa kwao
  2. Grahams

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Tunapojenga hospitali, vituo vya afya n.k tutenge maeneo privacy kwaajili hiyo pia. Tuyape umuhimu maeneo hayo, kama tunavyojenga vyoo kwenye nyumba zetu
  3. Grahams

    15 Zimbabweans Killed After Being Lured Into Russia-Ukraine War, 66 Still Trapped in Conflict

    Kama walifanikiwa kwenda, basi huenda walikuwa wachache, na hii imetokana na sababu nyingi ikiwemo urasimu wa kupata hati ya kusafiria ufinyu wa hiyo fursa yenyewe n.k
  4. Grahams

    PostGE2025 Bibi wa Taifa: Maiti za MO29 zilichomwa kwenye tanuru

    Hizi kauli tutaendelea kuzisikia tena na tena kwasababu Serikali imetaka iwe hivyo, wameshindwa kutoa takwimu halisi za watu waliouawa MO29 hivyo kila mtu anaweza kuja na takwimu zake na chanzo chake na Serikali ikashindwa kujitetea Wito kwa Serikali, achaneni na kutaja mali pekee zilizoibiwa...
  5. Grahams

    Nchi za Afrika zinazoongoza kwa kuchubua Ngozi (Skin Bleaching)

    Sijawaona majirani zetu wa Zambia, nao wapo vizuri mno kujichubua Niliwahi kusafiri nao kwenye shirika moja la ndege, asee wale Wadada hadi wanatisha jinsi ngozi yao ilivyo Wangejua tunavyohusudu rangi nyeusi, lile joto mkiwa mmejifunika shuka, hata kama ukiwa mzee wa mwaka 47, lazima misuli...
  6. Grahams

    Benson Kigaila: CHAUMMA ni chama cha kutenda, na si kelele mitandaoni

    Kila la heri CHAUMMA, Chama ni watu, japo sioni hao watu huko CHAUMMA labda itumike mbinu ya nusu mkate
  7. Grahams

    15 Zimbabweans Killed After Being Lured Into Russia-Ukraine War, 66 Still Trapped in Conflict

    Those are Government Data, perhaps there might be high numbers bigger than that The question we should be asked ourselves is, how can you stop young Men from being employed at Russia forces if your Country don't offer jobs for them? I hope if chances arises even here in Tanzania, there could...
  8. Grahams

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Next week sio mbali mjukuu, nitawaagiza wakufanyie home delivery 😊
  9. Grahams

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Hongera sana mjukuu, ungenikuta nimeshalipwa hela zangu za tumbaku, leo ungeagiza kuku wa kfc kwa gharama zangu 😜
  10. Grahams

    Aliyetishia kumuua Lukuvi akamatwe na kuhojiwa

    Mbuzi wa bwana heri amekula mahindi ya bwana heri..... Ingekuwa maneno hayo yametamkwa na kiongozi wa CDM, basi naye muda huu angekuwa ana kesi ya uhaini pamoja Lissu huko Magereza Wanasiasa vijana, wajitahidi kuwa makini na uchaguzi wa maneno na kauli zao, tunaishi kwenye Dunia ya...
  11. Grahams

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Pokea maua yako mjukuu 🌹 Umejua kutoa viashiria vya kuzingatiwa kwa vijana waoaji na waolewaji
  12. Grahams

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Kesi hii ikisha, tufungue mashatka kuidai fidia Serikali waliyotusababishia kutokana na madhira waliyotusababishia Hii itawafanya siku nyingine wasiweze kutoa adhabu za mlengo huu tena
  13. Grahams

    Kataa ndoa tunakemea ufungaji wa ndoa, kipindi hiki kikali cha talaka na mgawanyo wa mali

    Kama unawaza talaka badala ya kuishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe basi utakuwa una bahati mbaya kwenye selection yako Vijana mkubali wazee wenu tuwachagulie wake wa kuoa na waume wa kuolewa nao, kwani tunakuwa tumeshafanya screening ya kutosha kumhusu huyo mke/mume mtarajiwa Nyie kama...
  14. Grahams

    Nilifiwa na ndugu yangu lakini Ile sehemu ya kushea maiti pale mochwari palikuwa na shanga nyingi sana

    Okay, hata hivyo kuna haja watengenishe maeneo Mbona vyoo vimetanganishwa Ke/Me hata kama hospitali ni ndogo Kuna sehemu huwa tunajisahau kama Watanzania, tunaweza kupanga kujenga na kumiliki nyumba mikoa 26 ya Tanzania bara, lakini ukasahau kujiandalia eneo ili ukifa basi utazikwa humo, na...
  15. Grahams

    Pisi kali wote samahani sana, safisheni mifereji ya kwenye chemba zenu vizuri, tafadhali

    I wish nisingefungua na kusoma huu uzi Unapomsema madhaifu yake, vipi naye akianza kusema madhaifu yako pia Unadhani nasi wanaume hatuna mapungufu eeh? Ndiyo maana Wanaume wengi wa zamani tulipitia jandoni, ili kutuandaa kuwa Wanaume kamili
Back
Top Bottom