Recent content by Grahams

  1. Grahams

    Kuna watu wana miaka 30 na bado wapo nyumbani kwa wazazi, nimelia sana

    Hahaha.............we nipe moyo tu, nikidundwa utafanya kazi ya kunikanda mwili hadi nipone 😜🤗 Get prepared, Mjukuu, will be there for you
  2. Grahams

    Mlioanzisha mahusiano humu ndani kwa mbwembwe na baadaye mkaachana, mko wapi?

    Na Wazee hatuna historia ya kufeli Sina kawaida ya kufunga Ofisi, karibu
  3. Grahams

    Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

    Hahaha..............yeah ni kweli, hata mwili tu umemjia
  4. Grahams

    Kuna watu wana miaka 30 na bado wapo nyumbani kwa wazazi, nimelia sana

    Niliogopa kupigwa na wenye mali, si unajua Wazee hatuna mbio 😜 Halafu mzigo wa weekend ulikuwa full package, I wish ungekwepo 🤗
  5. Grahams

    Mlioanzisha mahusiano humu ndani kwa mbwembwe na baadaye mkaachana, mko wapi?

    I swear Mjukuu 🤗 By the way, kwakuwa una ratiba ya kuja kunitembelea Babu yako then I can fix ukija 😜 Kuwa na imani na Wazee 🤗
  6. Grahams

    Kuna watu wana miaka 30 na bado wapo nyumbani kwa wazazi, nimelia sana

    Bora Vijana wamepata mtetezi 🤗 Hope you good by the way
  7. Grahams

    Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

    Hahaha......kwamba alikuwa anatupanga sio 😅
  8. Grahams

    Ujinga niliokutana nao wakati na-date na kitoto cha 2000s

    Nimecheka hilo lalamiko lako namba 4 kwamba wakati anakupa vile viuno vya Mkoleni, wakati huo huo anaomba hela/anaomba umnunulie Peruvian hair/anaomba umpeleke vacation Zanzibar 😜🙌 Kumbe wanatofautiana Me wangu nikiwa nakaribia kuwaleta Wazungu ndiyo hapo anaanza kuomba hayo mahitaji Na...
  9. Grahams

    Makalla: CCM nafasi zote zipo wazi isipokuwa ya Urais

    Kwani Filimbi imeshapulizwa na Chama? Nimeshatenga fedha kwaajili ya Wajumbe tayari 🤗
  10. Grahams

    Kuna watu wana miaka 30 na bado wapo nyumbani kwa wazazi, nimelia sana

    Usishangae kuambiwa YESU mwenyewe na umri wote ule wa above 30 lakini bado anaishi Mbinguni Kwa Sir God ndiyo iwe wewe 😜🤗
  11. Grahams

    Tunauza majeneza na sanda za kisasa... Karibuni sana wateja

    Kaburi halihitaji mbwembwe ndiyo maana hawaweki AC Habari ndiyo hiyo ......MwanaFA ft AY
  12. Grahams

    Mlioanzisha mahusiano humu ndani kwa mbwembwe na baadaye mkaachana, mko wapi?

    Shida sio Mimi Mjukuu, shida ni network Tangu Jana Wakala alikuwa akikutumia muamala unarudi, wanasema you are not reachable 😜
  13. Grahams

    Mlioanzisha mahusiano humu ndani kwa mbwembwe na baadaye mkaachana, mko wapi?

    Unajua kukoleza moto balaa 🤗 Na hivi Sina mbio Kwa Uzee huu si nitapigwa nizimie 😜
  14. Grahams

    Ladies tajeni Wanaume mnaovutiwa nao humu JF

    Appreciate 🥂
  15. Grahams

    Haya maji yanayong'arisha Wasanii ni yapi?

    Nilidhani hii mada ameileta Mkuu sana Mjanja M1 Nadhani hiyo picha ilipigwa enzi za Analog, tofauti na sasa picha inapigwa with high quality 😜🙌
Back
Top Bottom