Recent content by Grahams

  1. Grahams

    JamiiForums Tanzania Watoto wa 2000 kaeni mbali hapa

    Old is gold
  2. Grahams

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Ukiwa tayari utanijulisha, first born wangu anataka kuongea mke wa pili mwezi December. Huyo nina uhakika mtadumu kama ilivyo Mimi na bibi yenu 🤗 Tayari nimevua, njoo ujichotee radhi za Wazee 🤭
  3. Grahams

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Kumbe ni Kijana, nilidhani hii bahati ya mtende imetuangukia Wazee 🤭
  4. Grahams

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Kutafutiana kulisaidia ndoa nyingi kuwa na utulivu, maana Wazee walipoint mabinti watulivu sana na wenye maadili Na wengi tulifanikiwa kufungua njia kwa mara ya kwanza (koh koh koh 🤭) We si unataka nikupe lazi babu yako, huoni nilivyokula chumvi nyingi 🤪
  5. Grahams

    JamiiForums Tanzania Kuna mtu anajua ni nini kinaendelea hapa?

    Hayo mapambo kuyapata ni lazima uwe na hela(ng'ombe) Kwahiyo ni obviously hiyo familia ambayo itamtaka huyo mchumba, itakuwa inajiweza pia
  6. Grahams

    JamiiForums Tanzania Ushawahi Kuwa In Love Lakini Ukashindwa Kusema?

    Sisi tuliozaliwa zamani, hatukuwa na haja ya kujifunza kutupia ndoana mabinti Maana hawa bibizenu tulionao, ni Wazee wetu walitutafutia miaka ile ya 47 😎
  7. Grahams

    JamiiForums Tanzania Mwigulu: Serikali imeshalipa fedha za miradi, wakandarasi waliokimbia bila kulipa wafanyakazi watafutwe na wakamatwe

    Kwa kweli awamu hii, malipo ya Ujenzi kwenye miradi mingi hayafanyiki Labda wanampango wa kuua kampuni za ndani za Wakandarasi
  8. Grahams

    JamiiForums Tanzania Selfika na JF: Snap it. Show it

    Bila kutumia hii kitu, Wazee hatuwezi kusalimika na hili baridi 🤪 Hello Thursday 🥂
  9. Grahams

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Hahaha........can't believe huna imani kiasi hicho kwa Wazee 🤭
  10. Grahams

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Hakika Mkuu 😅 Ukiweza kuishi hivyo, hata kibunda chako utafanikiwa kukitunza 🤭
  11. Grahams

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Kuwa na imani na Wazee 🤭
  12. Grahams

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Kabisa, akifanya hivyo hakutakuwa na wimbo wa kibamia tena 🤭
  13. Grahams

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Yesu na Maria🤭
  14. Grahams

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Ndiyo maana tumekula chumvi nyingi Mkuu 🤭
  15. Grahams

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimefikisha mwaka mmoja without Sex

    Kuwa na imani na Wazee 😅 Kuna wakati tukiamua kukomaa, tunakaa hata miezi 12 na zaidi bila hiyo kitu 🤭
Back
Top Bottom