Ukiwa tayari utanijulisha, first born wangu anataka kuongea mke wa pili mwezi December.
Huyo nina uhakika mtadumu kama ilivyo Mimi na bibi yenu 🤗
Tayari nimevua, njoo ujichotee radhi za Wazee 🤭
Kutafutiana kulisaidia ndoa nyingi kuwa na utulivu, maana Wazee walipoint mabinti watulivu sana na wenye maadili
Na wengi tulifanikiwa kufungua njia kwa mara ya kwanza (koh koh koh 🤭)
We si unataka nikupe lazi babu yako, huoni nilivyokula chumvi nyingi 🤪
Sisi tuliozaliwa zamani, hatukuwa na haja ya kujifunza kutupia ndoana mabinti
Maana hawa bibizenu tulionao, ni Wazee wetu walitutafutia miaka ile ya 47 😎
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.