Tunapojenga hospitali, vituo vya afya n.k tutenge maeneo privacy kwaajili hiyo pia.
Tuyape umuhimu maeneo hayo, kama tunavyojenga vyoo kwenye nyumba zetu
Kama walifanikiwa kwenda, basi huenda walikuwa wachache, na hii imetokana na sababu nyingi ikiwemo urasimu wa kupata hati ya kusafiria ufinyu wa hiyo fursa yenyewe n.k
Hizi kauli tutaendelea kuzisikia tena na tena kwasababu Serikali imetaka iwe hivyo, wameshindwa kutoa takwimu halisi za watu waliouawa MO29 hivyo kila mtu anaweza kuja na takwimu zake na chanzo chake na Serikali ikashindwa kujitetea
Wito kwa Serikali, achaneni na kutaja mali pekee zilizoibiwa...
Sijawaona majirani zetu wa Zambia, nao wapo vizuri mno kujichubua
Niliwahi kusafiri nao kwenye shirika moja la ndege, asee wale Wadada hadi wanatisha jinsi ngozi yao ilivyo
Wangejua tunavyohusudu rangi nyeusi, lile joto mkiwa mmejifunika shuka, hata kama ukiwa mzee wa mwaka 47, lazima misuli...
Those are Government Data, perhaps there might be high numbers bigger than that
The question we should be asked ourselves is, how can you stop young Men from being employed at Russia forces if your Country don't offer jobs for them?
I hope if chances arises even here in Tanzania, there could...
Mbuzi wa bwana heri amekula mahindi ya bwana heri.....
Ingekuwa maneno hayo yametamkwa na kiongozi wa CDM, basi naye muda huu angekuwa ana kesi ya uhaini pamoja Lissu huko Magereza
Wanasiasa vijana, wajitahidi kuwa makini na uchaguzi wa maneno na kauli zao, tunaishi kwenye Dunia ya...
Kesi hii ikisha, tufungue mashatka kuidai fidia Serikali waliyotusababishia kutokana na madhira waliyotusababishia
Hii itawafanya siku nyingine wasiweze kutoa adhabu za mlengo huu tena
Kama unawaza talaka badala ya kuishi pamoja hadi kifo kiwatenganishe basi utakuwa una bahati mbaya kwenye selection yako
Vijana mkubali wazee wenu tuwachagulie wake wa kuoa na waume wa kuolewa nao, kwani tunakuwa tumeshafanya screening ya kutosha kumhusu huyo mke/mume mtarajiwa
Nyie kama...
Okay, hata hivyo kuna haja watengenishe maeneo
Mbona vyoo vimetanganishwa Ke/Me hata kama hospitali ni ndogo
Kuna sehemu huwa tunajisahau kama Watanzania, tunaweza kupanga kujenga na kumiliki nyumba mikoa 26 ya Tanzania bara, lakini ukasahau kujiandalia eneo ili ukifa basi utazikwa humo, na...
I wish nisingefungua na kusoma huu uzi
Unapomsema madhaifu yake, vipi naye akianza kusema madhaifu yako pia
Unadhani nasi wanaume hatuna mapungufu eeh?
Ndiyo maana Wanaume wengi wa zamani tulipitia jandoni, ili kutuandaa kuwa Wanaume kamili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.