Mods popote mlipo nyie ndiye wasiri wangu pekee ninao waamini
Mnajua kabisa Wazee huwa tunaongea nini na Wajukuu zetu tukiwa tumevuta Kiko zetu 🤭
Endeleeni kutulinda dhidi ya Vijana wa hovyo wanapotuwekea mitego kutaka kutukata mitama wakihisi huwa tunakagua Wajukuu zetu humu jambo ambalo kwa...
Logic yangu ni kwamba, kutafutwe masoko ya uhakika kisha Serikali ibebe jukumu la kununua kwa Wananchi pale gharama zinapokuwa chini kisha wao wakauze kwenye masoko waliyotafuta
Ni kazi ya Mabalozi wetu huko kwenye Nchi mbalimbali wanazotuwakilisha
Ofcourse kama bei inashuka, inamletea hasara...
Na maelekezo yalitolewa tangu jana, kwamba hakutakiwi kuombwa hiyo ripoti
Ni ripoti ya Rais
Na kwa mujibu wa sheria zetu, anayetakiwa kutoa takwimu ni Serikali kupitia taasisi zake
Kwahiyo wewe mwingine ukija na takwimu zako, utaulizwa umezitoa wapi na kwa mamlaka yapi
Jamaa hakutaka unafiki kwenda kusikilizia chumbani
Anaonesha Dunia kwamba yeye kama binadamu ana mapenzi pia na Muziki
Na wakati mwingine kuna maisha mengine baada ya hizi kazi ngumu za kuongoza Wananchi
Binafsi naamini soko la mahindi bado lipo, jambo la kuzingatia ni kuwa na Viongozi wenye nia na maono
Serikali inaweza kununua mahindi kwa shilingi 10,000/debe badala ya 4,000/debe pale bei inaposhuka kisha kuhifadhi kwenye maghala yetu
Wakati huo itafute soko kwenye Nchi zisizo na utulivu...
Unataka ulale mara mbili kwa siku, huo ugali na ada kwa watoto wako nani akusaidie kukuletea?
Unakuta mtu unaishi Machimbo mwisho wa lami anafanya kazi Mikocheni, anatoka kwake saa 10 alfajiri kila siku, kurudi nyumbani saa 2 usiku
Hayo masaa 8 yenyewe kulala labda alale Jumapili
Sijaona msaidizi yeyote pale mwenye uthubutu wa kumshauri namba moja sawasawa
Wengi wanaishia kuongelea pembeni kwa kumuogopa boss wao na kulinda matumbo yao (maslahi)
Mwisho wa siku Nchi inaelekea mrama huku asitokee wa kusaidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.