Recent content by Grahams

  1. Grahams

    Msiri wako ni nani JF?

    Umeanza kuwa na wasiwasi na Wazee 🤭 Kuweni na huruma tafadhali 🤗
  2. Grahams

    How are you feeling? unajisikiaje? 😐 - karibu tuzogoe!

    Leo ni weekend, fanya mazoezi uje unitembelee babu yako 🤗
  3. Grahams

    Msiri wako ni nani JF?

    Nina wasiwasi na Vijana wa hovyo humu 🤗 Mimi na ERoni tumekula chumvi nyingi kwa Uzee 😅
  4. Grahams

    Msiri wako ni nani JF?

    Nina imani watatulinda, mara ya mwisho imeitishwa Sensa ya Wazee humu Kwa kweli tumebaki wachache, kama idadi ya Tembo mbuga ya Mikumi 🤪
  5. Grahams

    Msiri wako ni nani JF?

    Ulinzi ni muhimu kwa Wazee 🤗
  6. Grahams

    Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Kabisa Mkuu, hilo ni sehemu ya kazi za Balozi zetu huko nje ya Nchi
  7. Grahams

    How are you feeling? unajisikiaje? 😐 - karibu tuzogoe!

    Bila shaka Mjukuu, pitia mchana nikusaidie Si unajua Wazee tupo kwaajili yenu Wajukuu 🤭
  8. Grahams

    Msiri wako ni nani JF?

    Mods popote mlipo nyie ndiye wasiri wangu pekee ninao waamini Mnajua kabisa Wazee huwa tunaongea nini na Wajukuu zetu tukiwa tumevuta Kiko zetu 🤭 Endeleeni kutulinda dhidi ya Vijana wa hovyo wanapotuwekea mitego kutaka kutukata mitama wakihisi huwa tunakagua Wajukuu zetu humu jambo ambalo kwa...
  9. Grahams

    Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Logic yangu ni kwamba, kutafutwe masoko ya uhakika kisha Serikali ibebe jukumu la kununua kwa Wananchi pale gharama zinapokuwa chini kisha wao wakauze kwenye masoko waliyotafuta Ni kazi ya Mabalozi wetu huko kwenye Nchi mbalimbali wanazotuwakilisha Ofcourse kama bei inashuka, inamletea hasara...
  10. Grahams

    Siziamini takwimu za idadi ya waliouliwa kwenye maandamano

    Na maelekezo yalitolewa tangu jana, kwamba hakutakiwi kuombwa hiyo ripoti Ni ripoti ya Rais Na kwa mujibu wa sheria zetu, anayetakiwa kutoa takwimu ni Serikali kupitia taasisi zake Kwahiyo wewe mwingine ukija na takwimu zako, utaulizwa umezitoa wapi na kwa mamlaka yapi
  11. Grahams

    Kulikoni Rais wa Syria na kiongozi wa zamani wa ISIS kucheza wimbo wa rapper wa Marekani Missy Eliot?

    Jamaa hakutaka unafiki kwenda kusikilizia chumbani Anaonesha Dunia kwamba yeye kama binadamu ana mapenzi pia na Muziki Na wakati mwingine kuna maisha mengine baada ya hizi kazi ngumu za kuongoza Wananchi
  12. Grahams

    Bei ya Mahindi Tanzania Kuporomoka Baada ya Afrika Kusini Kuweka rekodi ya Kuzalisha zaidi ya Tani milioni 16 msimu wa 2025/26

    Binafsi naamini soko la mahindi bado lipo, jambo la kuzingatia ni kuwa na Viongozi wenye nia na maono Serikali inaweza kununua mahindi kwa shilingi 10,000/debe badala ya 4,000/debe pale bei inaposhuka kisha kuhifadhi kwenye maghala yetu Wakati huo itafute soko kwenye Nchi zisizo na utulivu...
  13. Grahams

    binadamu walikua wanalala mara mbili, badala ya masaa 8 mfululizo tunayoshauriwa sasa

    Unataka ulale mara mbili kwa siku, huo ugali na ada kwa watoto wako nani akusaidie kukuletea? Unakuta mtu unaishi Machimbo mwisho wa lami anafanya kazi Mikocheni, anatoka kwake saa 10 alfajiri kila siku, kurudi nyumbani saa 2 usiku Hayo masaa 8 yenyewe kulala labda alale Jumapili
  14. Grahams

    Kwa MaProfesa wanao Musunguka Samia

    Sijaona msaidizi yeyote pale mwenye uthubutu wa kumshauri namba moja sawasawa Wengi wanaishia kuongelea pembeni kwa kumuogopa boss wao na kulinda matumbo yao (maslahi) Mwisho wa siku Nchi inaelekea mrama huku asitokee wa kusaidia
  15. Grahams

    Alioa vs asieoa nani ana chance nzuri ya kufanikiwa kwa haraka pale anapojiwekea malengo?

    Kidole kimoja hakivunji chawa Jambo la muhimu ni kumpata huyo msaidizi ambaye atakuwa anafikiri na kuwaza sawasawa na wewe
Back
Top Bottom