Ule ukimwi wa miaka ya 90 hadi mwanzoni mwa 2000 ulikuwa hatari mno, mtu hata kama ulikuwa na kilo 120 unajikuta unapelekwa kaburini na kilo 15 🙌😢
Hahaha.......kumbe kuna haja tukumbushie, old is gold 😉
Tukio la mstaafu kupeleka Pensheni yote kwa nyumba ndogo
Mwaka fulani, mstaafu mwenzangu mmoja aliyeitwa Mzee Masanja(Sio jina halisi) ambaye kimsingi aliwahi kustaafu miaka mitano (5) hivi kabla yangu, alikuwa amepokea pensheni yake kiasi cha kama shilingi milioni 103. Miaka ile mstaafu...
Mimi kuna mahali nilifanikiwa kukataa
Alikuwa girlfriend wa rafiki yangu, nilipima faida na hasara za kulala naye, nikachagua kutokulala naye maana nilijua madhara yake yangekuwa ni makubwa kuliko utamu wa masaa mawili ambao angenipatia
Bado namkumbuka, alikuwa hana habari na mtu labda itokee umkwaze kiasi cha kutovumilika
Kwahiyo umehamia mtaa gani sasa, fanya kupitia weekend unitembelee babu yako 🤭
Hahaha...........useme nilikuwa mwoga wa ngwengwe, si unajua bure ghali
Hivi hao mabinti wa zamani mlikuwa mkifahamiana...
pole sana
Ila hakuna kitu wanaume tumeshindwa kuvumilia, kama kukosa tendo kwa binti uliyemmendea kwa muda mrefu tena mkiwa naye chumbani kabisa
Yale mambo ya ubakaji ndiyo yanatokea hapo, wenzetu wazungu wana heshimu hili, lakini sisi wabongo sio rahisi hata kidogo
Kuna sehemu nilienda, nikakuta Dada mmoja anapiga nyanga kummaliza business partner wake
Nikasema hii Nchi usimwamini mtu, even mabinti nao wamekuwa mafia
Usikute unataka kutumia njia ya elimination mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.