ila kwa waliajiriwa 2014 kurudi nyuma kila ndiko ulikuwa n.a. fomula yake . kwa pspf unapata 50%kama lumsum.n.a. 50%monthly pension.ila fomula zinatofautiana kwa mifuko kwa wafanyakazi walioajiliwa 2014 kurudi nyuma
asnte nimewiwa kuchangia mada hii inanuhusu bcause ni mwaka social protection. kiufupi you mifuko ya hifadhi ya jamii kwa sasa yangu 2015atumia fomula moja kwa mifuko yote .n.a. fomula you inawahusu wale wote walioajiliwa julay 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.