OPTIMISTIC
Senior Member
- Mar 12, 2011
- 125
- 20
Salaam sana wanajf
Naomba msaada wa maelezokuhusu mifuko ya jamiiya LAPF NA PSPF ili niweze kufanya maamuzi katika masuala yafuatayo:
1. Kuna tofauti ipi katika makato na mapato "benefits" kati ya mifuko hii miwili tajwa na ikiwezekana ninaomba na breakdown ya ukokotoaji wa mapato
2. Mimi kama mfanyakazi wa serikali ambaye nimeanzia kwenye serikali za mitaa kuna uwezekano wa kubadili baada ya kuhamia serikali kuu?
3. Kama kuhamisha account kutoka mmoja kwenda mwingine unatumia utaratibu gani?
Nashukuru sana na nawatakieni kazi njema
Naomba msaada wa maelezokuhusu mifuko ya jamiiya LAPF NA PSPF ili niweze kufanya maamuzi katika masuala yafuatayo:
1. Kuna tofauti ipi katika makato na mapato "benefits" kati ya mifuko hii miwili tajwa na ikiwezekana ninaomba na breakdown ya ukokotoaji wa mapato
2. Mimi kama mfanyakazi wa serikali ambaye nimeanzia kwenye serikali za mitaa kuna uwezekano wa kubadili baada ya kuhamia serikali kuu?
3. Kama kuhamisha account kutoka mmoja kwenda mwingine unatumia utaratibu gani?
Nashukuru sana na nawatakieni kazi njema