Recent content by Gozibati

  1. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Subira ni ibada. Hongera sana mkuu ukawe Mtumishi mwema [emoji109] na karibu upande wa pili. Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
  2. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Naomba kujua pia mbingunikwetu
  3. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Alright,,,Asante kwa huu ufafanuzi mkuu!
  4. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu mbingunikwetu naomba unisaidie kunielewesha hapo kwenye posho za kujikimu,, hapo walipoandika sehem nyingine. Hizo sehem ni zipi?
  5. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nameyaona! Maswali yanajirudia sana tu sema yanaulizwa kwa namna tofauti tofauti tu,,, ni vile vitu basic vya Accounts
  6. G

    PSRS interview questions (written, pract & oral)

    WRITTEN INTERVIEW KORUWASA kwa upande wa Accounts Assistant please share maswali, watu wapate mwanga kwenye maandalizi ya saili zijazo.
  7. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    WRITTEN INTERVIEW KORUWASA kwa upande wa Accounts Assistant please share maswali, watu wapate mwanga kwenye maandalizi ya saili zijazo.
  8. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sema hizi mambo ni miyeyusho wakuu,,,unasubiri kupigiwa simu mpka unachoka yan!
  9. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Je kwa Halmashauri watu gani wana unafuu kdgo wa hizo posho!?
  10. G

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sa kwanini walimu wanalalamika sana maisha magumu kuliko hao MaHR, na wengineo walioko Halmashauri?
Back
Top Bottom