Ki ujumla hata kama ni kweli panaweza pakawa na up upungufu wa mafuta, mkurugenzi hakupaswa kutamka maneno hayo mbele ya umma. Hii ni kuleta taharuki isiyo kuwa na sababu. Upo uwezekano shida ikajitokeza muda sio mrefu, watu watapanick na kuanza kujilimbikizia hata wasivyo hitaji.
Hiyo ndoto siyo nzuri kwako. Fanya maombi ya kufunga kukataa roho ya mauti juu ya maisha yako, kataa roho ya kukataliwa. Tafuta msaada kwa mtumishi wa Mungu aliyesimama vizuri kiroho. Usiipuuzie hii ndoto, ifanyie kazi.
Nani atakae waua? Kumbe mnaona raha kuua wenzenu? Kwa kosa lipi hasa walilofanya?
Ajabu ni kwamba hakuna atakae ishi milele, endeleeni kujidanganya na kujiona miuungu.
Hilo ni kosa la wazazi wenu hawakujua namna ya kuwaunganisha. Jitaidi hali hiyo isije tokea kwa watoto wako, si jambo la kujisifia. Pia yaonyesha namna umeshindwa kusimama na kuunganisha familia.
Ninaposoma hii story majihisi machozi kunitoka, japo inaweza kuwa ya kutunga.
Una dhani kwa nini mimi nisiiamini hii story? Tunaona watu wanauwawa, tuna ona chaguzi zilizopita namna watu walivyofanyiwa, bado kiongozi anaweza kisimama hadharani bila woga wala aibu anatamka mambo ambayo labda...
Umeongea vema mtoa mada, kati ya vitu vitawaumiza chadema ni kushiriki huu uchaguzi ilihali walishasema hawata shiriki kwa sababu walizotoa.
Mimi ninawaomba wasiwambie wananchi kwenda kulinda kura.
Watakapo fanyiwa rafu wasilalamike.
Sijui ni kuogopa kuadhibiwa kama Lisu na serikali au ni njaa ambayo inawasumbua. Nachoona unasumbuliwa na njaa, kama ingekuwa ni uoga ungenyamanza kimya, wala hakuna ambaye angekufuata. Msiidhalilishe taaluma ya habari kiasi hicho.
Nia yenu ni kutoa kafara za watu,acha kuwaza kwa kutumia tumbo. Hii ndio shida ya kuwa na waandishi waganga njaa.
Mtu na akili zako timamu unaweza ukashauri upinzani kushiriki uchaguzi katika mazingira haya? Nieleze ni lini ulienda kulinda kura za upinzani, ukinieleza, nitajua unamaanisha, la...
Ninania ya kuwasilisha kinacho nikereketa, japo sipo vizuri ila natumaini mtanielewa.
Tmeshuhudia namna chaguzi za 26nov zilivyoendeshwa na kufanyika pamoja na kisimamiwa.
Kwa namna nilivyoutathimini uchaguzi huu ni sawa na pambano la mabondia ulingoni, bondia mmoja kafungwa kamba mikono na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.