Recent content by Good Mood

  1. Good Mood

    Onyo kwa Wadada: Usifikiri kumpa mpenzi wako kinyume na maumbile ndio atazidi kukupenda au kuzidisha upendo

    Kama unampenda kwel kula mzigo huo mtadumu alafu itakua anakupenda anajaribu kukushirikisha
  2. Good Mood

    Wasanii walivyoboronga nyimbo za maombolezo

    Kasikilize nyimbo ya Aslay wa maombolezo kisha uje u edit tena
  3. Good Mood

    Waafrica wazidi kumiminika Tanzania kuonyesha mshikamano na Magufuli

    Africa nzima inajua katika nyota inayowaka kwa sasa iko Tanzania jambo lililopo ni kuunganisha nguvu zetu kwa pamoja na kusonga mbele jumla jumla
  4. Good Mood

    Hii EACOP ambayo hatupati usingizi kwa sababu kila siku tunapigiwa makelele kuihusu imepelekwa kortini

    Kwani hilo ndio bomba la kwanza duniani la kusafirisha mafuta ghafi kujengwa? Na kama sio hayo mengine yaliyo tangulia kwanini yasingezuiliwa kujengwa kwa kigezo icho icho?
  5. Good Mood

    Hii EACOP ambayo hatupati usingizi kwa sababu kila siku tunapigiwa makelele kuihusu imepelekwa kortini

    Mtakua lini na akili? Mtaendelea kuwa mbwa wa wazungu hadi lini? Unajua lengo kubwa la kupewa misaada ni nini? Unajua madhara ya misaada kiuchumi?
  6. Good Mood

    Watanzania mbona msiwape taarifa makampuni ya kimataifa yanayong'ang'ania kuajiri Wakenya kwamba hawaruhusiwi

    Wakenya ni mbwa wa wazungu na hiyo ni historia yenu toka uhuru, Tukikataa kuajiri mbwa tutakua salama zaidi kwa sisi tulioamua kusimama kwa miguu yetu wenyewe na ndio maana hamtaacha kubweka kuhusu Tanzania. Naamin nimeeleweka vizuri sana
  7. Good Mood

    Ni uzembe kuendelea kuipamba Dar kwa flyovers wakati shuleni na hospitalini hakuna nyumba na vifaa vya kutosha

    Uifahamu nchi yako vizuri na maendeleo yake, na hii inaonyesha ni kiasi gani hamna mipango madhubuti kama wapinzani mmejazwa maneno ya kuambiwa vichwani mwenu na kukaririshwa kwamba hakuna jema linalotendwa na serikali Na hii ni mbaya zaidi kwa sababu inaonyesha jinsi gani vichwa nyenu havina...
  8. Good Mood

    Ufaransa waanza kulialia kwa Uingereza kama jinsi majirani zetu wanatulilia sisi Wakenya

    Kenya wameweka korona kama mradi wa kujipatia fedha zinazotafunwa na wachache huku maskini wengi wa taifa ilo wakifa njaa, taifa la Tanzania limeamua kupambana na kuimaliza korona na imekua nafuu kwani shughuli zote zinaendelea kama kawaida. Shida inakuja pale ambapo Kenya imeweka korona kama...
  9. Good Mood

    USA, mataifa mengi Ulaya na India ni miongoni mwa ambao ndege zao bado haziruhusiwi kuingia Kenya, natumai hawatalialia kama Watanzania

    Nimekuja kugungua kwamba unalipwa ili kuichafua Tanzania mitandaoni hakuna point unayoandika zaidi ya maneno ya chuki, kujikweza, majigambo pamoja na majivuno unaendelea kutuonyesha jinsi wakenya walivyo wapenda sifa. Haya mnaweza yotee ila muache kulamba matapishi yenu mkitoa kauli isimamieni...
  10. Good Mood

    Namna ya kutatua hili la ndege za Watanzania ni kumpima kila mmoja wao kama ilivyo mpakani

    Tunaongelea nchi zetu mbili unatuletea maswala ya falme za kiarabu? Unaakili kweli? Mbona nchi nyingi zimeweka listi zao mbona hujaweka pia marekani wameweka Tanzania kama nchi salama kwao mbona ujaweka? Tuongelee yetu au unamaanisha mmewaiga waarabu kutuwekea zuio hata kama ni mfano chukulia...
  11. Good Mood

    Namna ya kutatua hili la ndege za Watanzania ni kumpima kila mmoja wao kama ilivyo mpakani

    Kwanini msingesimamia msimamo wenu mbona mmelegeza? Hatupo kwenye listi za nchi mlizozitaka zije kwa kisingizio cha korona iyo iko sawa kwenu mbona na sisi tulivyowatoa mmepaniki mkaanza kipiga simu swala hili liishe mbona kenya mnabipu kujamba wakati mnaarisha? Ukweli ni kwamba kenya mnawivu...
  12. Good Mood

    As Tanzanian Government is waiting for Arabs to build Stadium for them, County Government of Mombasa is building this huge stadium using its own money

    Vp kuhusu mrad wa reli ya kisasa, nahidi ndo muhimu kwa maendeleo ya wananchi kuliko uwanja je mnajenga wenyewe au ni mkopo? Au unajaribu kupoteza machungu hayo kwa kuposti habari kama hii?
  13. Good Mood

    Nimesoma masomo ya sayansi katika Shahada yangu. Je, naweza kusoma Masters of Business Administration?

    Utapata shida kwa sababu unaenda kuanza kukisoma kitu ambacho hauna msingi nacho tena kwenye ngazi za juu, cjajua vigezo vyao kama utaendana navyo ila utakua umekidhi vigezo bc hakikisha uwezo wako wa uwelewa ni mkubwa la sivyo utapata shida.
  14. Good Mood

    Elimu ya Rais Uhuru

    Ila dunia mzima inamjua kama Dr JPM apo kwa Uhuru jee?
  15. Good Mood

    Elimu ya Rais Uhuru

    Kwel nimepata mwanga na kuweza kumfahamu Rais Uhuru na utajiri alio nao zaid ya $500million na anamiliki ardhi safi ya kilimo zaidi ya asilimia 8.6 (500,000) ya jumla ya arable land yote kenya ambayo ni hekari 5,800,000. Huyu ni mtu tajiri sana wala mshahara wa urais hauna maana kwake. Nimepata...
Back
Top Bottom