Kwani hilo ndio bomba la kwanza duniani la kusafirisha mafuta ghafi kujengwa? Na kama sio hayo mengine yaliyo tangulia kwanini yasingezuiliwa kujengwa kwa kigezo icho icho?
Wakenya ni mbwa wa wazungu na hiyo ni historia yenu toka uhuru, Tukikataa kuajiri mbwa tutakua salama zaidi kwa sisi tulioamua kusimama kwa miguu yetu wenyewe na ndio maana hamtaacha kubweka kuhusu Tanzania. Naamin nimeeleweka vizuri sana
Uifahamu nchi yako vizuri na maendeleo yake, na hii inaonyesha ni kiasi gani hamna mipango madhubuti kama wapinzani mmejazwa maneno ya kuambiwa vichwani mwenu na kukaririshwa kwamba hakuna jema linalotendwa na serikali
Na hii ni mbaya zaidi kwa sababu inaonyesha jinsi gani vichwa nyenu havina...
Kenya wameweka korona kama mradi wa kujipatia fedha zinazotafunwa na wachache huku maskini wengi wa taifa ilo wakifa njaa, taifa la Tanzania limeamua kupambana na kuimaliza korona na imekua nafuu kwani shughuli zote zinaendelea kama kawaida.
Shida inakuja pale ambapo Kenya imeweka korona kama...
Nimekuja kugungua kwamba unalipwa ili kuichafua Tanzania mitandaoni hakuna point unayoandika zaidi ya maneno ya chuki, kujikweza, majigambo pamoja na majivuno unaendelea kutuonyesha jinsi wakenya walivyo wapenda sifa. Haya mnaweza yotee ila muache kulamba matapishi yenu mkitoa kauli isimamieni...
Tunaongelea nchi zetu mbili unatuletea maswala ya falme za kiarabu? Unaakili kweli? Mbona nchi nyingi zimeweka listi zao mbona hujaweka pia marekani wameweka Tanzania kama nchi salama kwao mbona ujaweka? Tuongelee yetu au unamaanisha mmewaiga waarabu kutuwekea zuio hata kama ni mfano chukulia...
Kwanini msingesimamia msimamo wenu mbona mmelegeza?
Hatupo kwenye listi za nchi mlizozitaka zije kwa kisingizio cha korona iyo iko sawa kwenu mbona na sisi tulivyowatoa mmepaniki mkaanza kipiga simu swala hili liishe mbona kenya mnabipu kujamba wakati mnaarisha?
Ukweli ni kwamba kenya mnawivu...
Vp kuhusu mrad wa reli ya kisasa, nahidi ndo muhimu kwa maendeleo ya wananchi kuliko uwanja je mnajenga wenyewe au ni mkopo? Au unajaribu kupoteza machungu hayo kwa kuposti habari kama hii?
Utapata shida kwa sababu unaenda kuanza kukisoma kitu ambacho hauna msingi nacho tena kwenye ngazi za juu, cjajua vigezo vyao kama utaendana navyo ila utakua umekidhi vigezo bc hakikisha uwezo wako wa uwelewa ni mkubwa la sivyo utapata shida.
Kwel nimepata mwanga na kuweza kumfahamu Rais Uhuru na utajiri alio nao zaid ya $500million na anamiliki ardhi safi ya kilimo zaidi ya asilimia 8.6 (500,000) ya jumla ya arable land yote kenya ambayo ni hekari 5,800,000. Huyu ni mtu tajiri sana wala mshahara wa urais hauna maana kwake. Nimepata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.