....na hana Phd ya kimagumashi.Alisomea uchumi, siasa, na maswala ya utawala kwenye chuo cha Amherst kule Massachusetts, Marekani.
Ndio sababu ni mtu mjinga kiasi hiki?, au bhangi ndio zimevuruga kichwa yake?, vipi uweke "restrictions" wakati wagonjwa ni chini ya 100, kisha uanze kuzikegeza wakati wagonjwa ni 7000?....na hana Phd ya kimagumashi.
Yeye n familia yake wanamiliki ardhi yenye hekari 500000 (laki tano)
Nimetafuta Phd thesis ya Magu online hadi nimechoka. Hata hana any published academic paper online.....na hana Phd ya kimagumashi.
Kwel nimepata mwanga na kuweza kumfahamu Rais Uhuru na utajiri alio nao zaid ya $500million na anamiliki ardhi safi ya kilimo zaidi ya asilimia 8.6 (500,000) ya jumla ya arable land yote kenya ambayo ni hekari 5,800,000. Huyu ni mtu tajiri sana wala mshahara wa urais hauna maana kwake. Nimepata mwanga naendelea na ukusanyaji wa data kabla sijaja na hoja kamili
Magu ana akili sana, alifanikiwa kusoma PhD ya Chemistry Chuo Kikuu cha Dar es saalam, one of the most difficult pure science field akiwa ni waziri. Huyu jamaa ana bidii na determination za ajabu sana.Nimetafuta Phd thesis ya Magu online hadi nimechoka. Hata hana any published academic paper online.
Unaongea na brainwashed white wannabe very dark nigas.Sipuuzi umuhimu wa masomo lakini kua na PHD haimaanishi eti we ni kiongozi bora.
NB: Sijamtaja huyo unayemzungumzia.Nimetafuta Phd thesis ya Magu online hadi nimechoka. Hata hana any published academic paper online.
Evidence?Magu ana akili sana, alifanikiwa kusoma PhD ya Chemistry Chuo Kikuu cha Dar es saalam, one of the most difficult pure science field akiwa ni waziri. Huyu jamaa ana bidii na determination za ajabu sana.
Haha. Usiogope. Mimi ndio nimemtaja sio wewe.NB: Sijamtaja huyo unayemzungumzia.
Evidence kwamba ana bidii na determination, au evidence kwamba amesoma akiwa waziri?Evidence?
kwa upuuzi anaofanya ni aibu hata kusema amesoma marekani.....na hana Phd ya kimagumashi.
Nenda udsm library utaikuta. Amesoka ili kuongoza vizuri siyo kutafta ajiraNimetafuta Phd thesis ya Magu online hadi nimechoka. Hata hana any published academic paper online.