Ameli Mligo
Member
- Apr 18, 2018
- 28
- 16
Habari wana JF,
Ninasoma bachelor degree ya education (Physics na Chemistry) but baada ya kugraduate nataka nikasome masters of business administration. Nina maswali kadha nitashukuru nikijibiwa.
1. Kwa sababu nimesoma pure science ninaweza kumanage kusoma hiyo masters bila shida.
2. Je, naweza nikaisoma vizuri bila shida yoyote kama nikisoma open university?
Ninasoma bachelor degree ya education (Physics na Chemistry) but baada ya kugraduate nataka nikasome masters of business administration. Nina maswali kadha nitashukuru nikijibiwa.
1. Kwa sababu nimesoma pure science ninaweza kumanage kusoma hiyo masters bila shida.
2. Je, naweza nikaisoma vizuri bila shida yoyote kama nikisoma open university?