Ni mschana aliyeokoka, nilimpenda sana na nimemzidi kwa miaka saba, ni mwanafunzi wa chuo fulani, na nilikuwa na malengo nae.
Nilimpa kila alichohitaji kutoka kwagu, na alinipa sharti moja kuwa kama niko tayari kuwa nae tusifanye mapenzi mpaka tutakapofunga ndoa, nilimkubalia.
Hivyo sikupenda...
Kipo katika hali nzuri kinafaa kwa biashara.Kutoka katika kituo cha daladala Magereza Unatembea kama mita 800..Kipo karibu na ofis za ccm...kwa mawasiliano zaid 0659663232..Bei mill 22maelewano yapo. Kimenzungushiwa msingi wa mawee...
Hivi Leo hii unapomzodoa mt,kumkandia na hata kumzomea,eti ni kwasababu ya ugonjwa wake..Ninani anaependa kuumwaa?Ni nani alie na mkataba na Mungu hadi awazomee wanaoumwa?Inamaana mgojwa Jana haki ndani ya jamii zetu?Tuweni waungwana ushabiki wa kijinga acheni mlio na tabaia kama hii..Sifanyi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.