stanleyRuta
JF-Expert Member
- Jul 19, 2014
- 851
- 529
Dit diploma wote wamepata
Bado third allocation. Kila mwanafunzi atapewa ndgje kuna watu waliotoka Diploma wamepata mkopo? kama wapo waliopata mkopo wajitokeze manake sisi tuliomaliza Diploma tumetengwa sana kwenye mkopo.
Mimi nimechaguliwa UDOM bachelor of education in commerce bt mkopo sijapata
Wanatuzingu heslb sisi waliopitia diploma, kma mtu ulikua na vigezo vya kupata chuo utakosaje vigezo vya mkopo
Kumetokea aina Fulani ya ubaguzi kwa walioomba Mikopo kwa sifa ya diploma kwani asilimia kubwa yetu hatujapata Mikopo na dalili zilizopo ni kwamba tunaweza kupigwa chini kwa wao kuimagine tayari tutakuwa kazini kwahiyo tutaweza kajilipia,kwahiyo nashauri tuunganishe mawazo ni kivipi tutapeleka kilio chetu kisikike kwa Bodi ya Mikopo ili wasitupuuzie, uongozi wa UDSM umekaza mpaka Leo mikopo wengi wamepata sasa sisi tukikaa kimya haitatusaidia.
Engineering gani,mwaka gani ulimaliza na chuo gani umekuwa admittedhili suala tunalichukuliaje maana dip wengi hata fani za engineering hatujapata huo mkopo
Engineering gani,mwaka gani ulimaliza na chuo gani umekuwa admitted