Sikukaba sikuiba a.k.a shkuba.kiukweli huyu ni drug Lord wa nguvu kwa ukanda wa Africa mashariki na baadhi ya nchi kadhaa amekuwa msafirishaji na amelichezesha shere sana mesh la polis tz.
Ahsante my dear yaan hapa niko full mihasira, natafuta likizo fupi hapa kuofc nitalifuatilia tu. Yaan wanaume full stress, yaani halioni mke katoka mkoani kaja kuiona famili:flame:a yeye ubisy na ofisi tu. Ngoja tuu niishie, my young nisije kuzidisha mihasira hapa
Jianaume lingine halijui kubembeleza mwanamke linataka libembelezwe lenyewe. Yaani halijui ni wakati gani wa kufanya mapenzi wala muda, wala maandalizi likija kama lipunda kisa linapesa zake panda psaa bac kama waweza, huo ni ushamba " Diamond ameimba mwanamke anahitaji kubembelewa na...
Jimwanaume Zima linasikiliza umbea wa watu haliulizi linajinunisha, yaani Jumamosi ya kuamkia Idd mwenzenu sikulala mwanaume ameongea hadi nahic tuu amepata mtu Dar maana mwenzenu nipo mkoani yan hii mada imenifaa sana Miss chaga Big Up Mama:flame:
nimesikitishwa na watu watu wanaotoa hiz maada za code jaman kama kuna mtaalamu azingatie maadili ya taaluma yake hata hao google hawachambui yote.hiz taaluma zina siri jaman kuwen watii.na taaluma ya afya.wengine waishie kujua panadol tu sio yote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.