Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 3,611
- 8,742
Wanakwambie tembea ujionee sio kukaa hapa Tanzania ukiskia ukahaba umezidi buguruni na sokota unasema dunia imefika mwisho wakati wewe ndio umefika mwisho kwenye maeneo uliyosikia au kutizama.
Huko nchini Thailand biashara ya ngono ni jambo la kawaida na tena biashara inayotambulika bila wasiwasi.kama unavokwenda kariakooo mchana ukaona msululu wa maduka basi hapa Pattaya ndio kariakoo ya mandanguro.
Hakuna cha mchana wala usiku na kila duka lina funguliwa kwa mda wake,kuna huduma zote na uwezi kuibiwa wala kupotezewa pesa yako.
Kuna maduka ya ngono kama vunja bei na mabaa kama samaki samaki na kitambaa cheupe huduma zipo.nimetumia mfano
Starehee zote zipo za ngono zipo.
Kwa sisi tunaita kariakoo ya mbususu
ANGALIZO:kuna visanii na ndugu vinajifanya vimetoa wanawake Thailand,malysia na singapori kuweni na mashaka naweza kuvianika uchufu wa huko.
Huko nchini Thailand biashara ya ngono ni jambo la kawaida na tena biashara inayotambulika bila wasiwasi.kama unavokwenda kariakooo mchana ukaona msululu wa maduka basi hapa Pattaya ndio kariakoo ya mandanguro.
Hakuna cha mchana wala usiku na kila duka lina funguliwa kwa mda wake,kuna huduma zote na uwezi kuibiwa wala kupotezewa pesa yako.
Kuna maduka ya ngono kama vunja bei na mabaa kama samaki samaki na kitambaa cheupe huduma zipo.nimetumia mfano
Starehee zote zipo za ngono zipo.
Kwa sisi tunaita kariakoo ya mbususu
ANGALIZO:kuna visanii na ndugu vinajifanya vimetoa wanawake Thailand,malysia na singapori kuweni na mashaka naweza kuvianika uchufu wa huko.