What is the meaning of PMTC1?

Umeongea vizuri sana Kanigini, tatizo wanaume wengi tunaogopa kwenda kupima na badala yake tunawatanguliza wake zetu ndio wakapime ili watuletee majibu. Yaani akina mama huwa nawavulia kofia maana akiwa mjamzito tu apende asipende lazima apimwe HIV. Nakumbuka Morogoro sehemu moja vijijini huko kuna kijiji wana sera yao kuwa mama mjamzito lazima aende na mme wake kupima. Sasa kuna jamaa mmoja mke wake alikuwa mjamzito, mke alienda kupima ila jamaa aligoma kwenda kupima mpaka akawa anajificha maporini. Baada ya kuona vile ilibidi mtendaji wa kijiji atume mgambo wakamkamate na kumpeleka kituo cha afya kupima akiwa na mkewe! lengo likiwa ni kulinda mtoto aliyeko tumboni. Hii ni balaa kwa kweli! sasa sikuuliza kama alifanyiwa Counselling baada ya kupelekwa na mgambo kituo cha afya!
Kikawaida mwanaume unatakiwa uwe wa kwanza kwenda kupima kabla wife hajaenda, ukikuta ndivyo sivyo unafanya kumwandaa mapema.

Ila kiukweli ukimwi unatisha, inabidi upate counseling ya kueleweka si mchezo.

All in all, Ukimwi wa siku hizi hauui kama zamani, ukijikubali ziko njia za kueleweka za kuishi nao.
 
Umeongea vizuri sana Kanigini, tatizo wanaume wengi tunaogopa kwenda kupima na badala yake tunawatanguliza wake zetu ndio wakapime ili watuletee majibu. Yaani akina mama huwa nawavulia kofia maana akiwa mjamzito tu apende asipende lazima apimwe HIV. Nakumbuka Morogoro sehemu moja vijijini huko kuna kijiji wana sera yao kuwa mama mjamzito lazima aende na mme wake kupima. Sasa kuna jamaa mmoja mke wake alikuwa mjamzito, mke alienda kupima ila jamaa aligoma kwenda kupima mpaka akawa anajificha maporini. Baada ya kuona vile ilibidi mtendaji wa kijiji atume mgambo wakamkamate na kumpeleka kituo cha afya kupima akiwa na mkewe! lengo likiwa ni kulinda mtoto aliyeko tumboni. Hii ni balaa kwa kweli! sasa sikuuliza kama alifanyiwa Counselling baada ya kupelekwa na mgambo kituo cha afya!
Mtego wa Noti hicho kijiji nimekivulia kofia, nimeshtukia nimecheka kwa sauti ofisini mpaka watu wamenishangaa aisee.

Hii inatakiwa iaplai kote ili wanaume waanze kuwa responsible kwenye michepuko.
 
Last edited by a moderator:
Kanigini hata mimi nilicheka sana nilivyoonyeshwa jamaa mwenyewe aliyepelekwa na wanamgambo kwenda kupima HIV. Kile kijiji si mchezo yaani wanatisha...
Mtego wa Noti hicho kijiji nimekivulia kofia, nimeshtukia nimecheka kwa sauti ofisini mpaka watu wamenishangaa aisee.

Hii inatakiwa iaplai kote ili wanaume waanze kuwa responsible kwenye michepuko.
 
Last edited by a moderator:
Niliwahi kupata kaelimu kidogo kuhusu hii makitu. Wenyewe wanasema hiyo ya kutumia PMTC 1,2,3....... ni namna ya kuwasiliana wao wakunga juu ya hali ya mama mjamzito na maambukizi ya VVU.
PMTC ikifuatiwa na namba shufwa (even) ina maana yake na ikifuatiwa na witiri (Odd) ina maana yake.
walikubaliana kutumia haya mafumbo kama njia mojawapo ya kupunguza unyanyapaa baada ya + na - kuwa common.
 
kwa hiyo baada ya hiyo elimu, 1 na 2 zina maana gani?
Niliwahi kupata kaelimu kidogo kuhusu hii makitu. Wenyewe wanasema hiyo ya kutumia PMTC 1,2,3....... ni namna ya kuwasiliana wao wakunga juu ya hali ya mama mjamzito na maambukizi ya VVU.
PMTC ikifuatiwa na namba shufwa (even) ina maana yake na ikifuatiwa na witiri (Odd) ina maana yake.
walikubaliana kutumia haya mafumbo kama njia mojawapo ya kupunguza unyanyapaa baada ya + na - kuwa common.
 
Ninavyojua mimi hauandikiwi tu kwenye card ya clinic, unapewa kwanza majibu na ushauri nasaha. Mpaka ikiandikwa hivyo muhusika kazima ujue. Afterall si jambo la kuhofia kama zamani ni kufuata ushauri tu
Sawa kabisa Mfa maji, huwezi kundikiwa tu halafu ukambiwa nenda, ni lazima upewe ushauri hata kabla ya kuambiwa. Cha msingi tu watu tupende kwend clinic na wake zetu ili kama ni kupima na kupta ushauri tupate wote na siyo kuwatanguliza wenzetu kama chambo.
 
Last edited by a moderator:
nimesikitishwa na watu watu wanaotoa hiz maada za code jaman kama kuna mtaalamu azingatie maadili ya taaluma yake hata hao google hawachambui yote.hiz taaluma zina siri jaman kuwen watii.na taaluma ya afya.wengine waishie kujua panadol tu sio yote.
 
Back
Top Bottom