Hatimaye nimemuona Shikuba

Hatimaye nimemuona Shikuba

Hiv ugolo nao ungepigwa marufuku je tungeficha wapi nyuso zetu.................
Ungeleta taharuki kwenye jamii...wengi wanashangaa siku hizi vijana wakivuta ugolo lakini ukweli ugolo umekuwa ukitumiwa muda mrefu na raia wengi wa nchi hii hasa wa vijijini
 
Shkuba alikuwa n'a mtandao wa ksafirisha madawa dunia nzima....kuanzia marekani,canada,brazil,ulaya,Asia,africa etc...
Elchapo anawrza kumzidi shkuba kifedha lkn when or comes to netwrk shkuba alikuwa na mtandao mkubwa naye.... . ,

ova
Tamaa tu za watoto kusambaza mzigo kwa dola buku 5,drug lord wanashusha mzigo US na private boat na hawakamatwi.huyu jina lake lilikuja juu baada ya vijana wake kudakwa dakwa sana.
wa siku nyingi ndio ni mkongwe kakaa sana kwenye hiyo biashara
 
ukishamjuwa ? wewe pambana na hali yako

Wewe unaonekana hufatilii habari za huyu jamaa..
Wakati habari zake zinaletwa na kusoma Kila mtu alikuwa anataka japo picha kumfahamu..
Sometimes ukisoma habari ya mtu ambaye anaongelewa Sana Vizuri kumjua.

..kwahiyo hapo wala sioni kosa langu mkuu..

Kaa kimya sometimes!
 
Hao wamefundishwa kazi na chonji
chonji alkua noma anamiliki nyumba mtaa ule wa jangwani sea breeze alkua analeta mzigo kwa boti tena una escort ya jeshi kuhusu mali ndo usiseme
Shkuba kwenye game ni kitambo sana ...hao wakina chonji ni watu wadogo sana....shkuba

ndy alikuwa anapokea consigmnt wa Mzigo
mkubwa sana n'a yeye alikuwa ni supplier es
e.africa,West africa,south africa,ulaya,marekani,south africa,hadi Australia
Hadi mali nyingi sana anamiliki nje ya nchi hadi ulaya

Ova
 
Kwani tanzani au pwani ya afrika mashariki unga unakujaje!
Trip moja ya madawa ikiletwa n'a mtu mmoja inakaribia ton 1na unakuja kwa njia ya maboti pia

Ova
Tamaa tu za watoto kusambaza mzigo kwa dola buku 5,drug lord wanashusha mzigo US na private boat na hawakamatwi.huyu jina lake lilikuja juu baada ya vijana wake kudakwa dakwa sana.
wa siku nyingi ndio ni mkongwe kakaa sana kwenye hiyo biashara
 
Shkuba alikuwa n'a mtandao wa ksafirisha madawa dunia nzima....kuanzia marekani,canada,brazil,ulaya,Asia,africa etc...
Elchapo anawrza kumzidi shkuba kifedha lkn when or comes to netwrk shkuba alikuwa na mtandao mkubwa naye.... . ,

ova

Mh!i see
 
Kwani tanzani au pwani ya afrika mashariki unga unakujaje!
Trip moja ya madawa ikiletwa n'a mtu mmoja inakaribia ton 1na unakuja kwa njia ya maboti pia

Ova
ilianza juzi hapo na ishazimwa,huko malord mpk leo wanashusha mzigo
 
Sikukaba sikuiba a.k.a shkuba.kiukweli huyu ni drug Lord wa nguvu kwa ukanda wa Africa mashariki na baadhi ya nchi kadhaa amekuwa msafirishaji na amelichezesha shere sana mesh la polis tz.
 
Shkuba kwenye game ni kitambo sana ...hao wakina chonji ni watu wadogo sana....shkuba

ndy alikuwa anapokea consigmnt wa Mzigo
mkubwa sana n'a yeye alikuwa ni supplier es
e.africa,West africa,south africa,ulaya,marekani,south africa,hadi Australia
Hadi mali nyingi sana anamiliki nje ya nchi hadi ulaya

Ova
Hapo hakuna case mana hakushikwa yeye na unga ni vijana wke,ndio mana serikali imeona imeshindwa ndio wanataka kumpeleka usa ila mawakili wake watashinda hiyo case ya kusafirishwa
 
Hao wamefundishwa kazi na chonji
chonji alkua noma anamiliki nyumba mtaa ule wa jangwani sea breeze alkua analeta mzigo kwa boti tena una escort ya jeshi kuhusu mali ndo usiseme
Hahaha kweli jambo usilolijua ni sawa sawa na usiku wa Giza........Ni sawa sawa na kusema Rais Magufuli kamfundisha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi kuongoza wananchi wa Tanzania.
 
Huyu jamaa nadhani ndio don mkubwa afrika mashariki. Ukitoa kina Chinedu na mama leyla. Huyu ana asset canada pia na uraia , marekani, South africa.
Huyu jamaa alikuwa akisikia nyumba inauzwa 600 mil ananunua tuu hana majadiliano.
Ajabu siku ya kesi yake mahakamani alionekana pia Papaa Musofe chuma cha reli????
 
Shkuba alikuwa n'a mtandao wa ksafirisha madawa dunia nzima....kuanzia marekani,canada,brazil,ulaya,Asia,africa etc...
Elchapo anawrza kumzidi shkuba kifedha lkn when or comes to netwrk shkuba alikuwa na mtandao mkubwa naye.... . ,

ova
Anamfikia PABLO ESCOBER(Rest in PIECES)
 
Duh huyo mpka leo hakuna aliyemfikia!mkuu

Ova
Mbali na kwamba alikuwa ni mhalifu,jamaa alikuwa genius akimiliki kikosi hatari cha kumlinda

Nilisoma kitabu kimoja,kaka yake anaitwa Roberto alikuwa anamsimulia nduguye Pablo,kwamba aliwahi kutengeneza nyambizi(submarine) akaitumia kupeleka madawa marekani, anasema Pablo alikuwa na utajiri wa mabilioni ya dola na maafisa wengi wa usalama walikuwa kwenye payroll yake,kuna kipindi rais wa panama Jenerali Noriega aliwapa hifadhi wakawa wanamlipa

Alikuwa na pesa nyingi sana na kaka yake anadai kila mwaka asilimia kumi ya mabilioni ya dola yalikuwa yanaharibika kwa kuliwa na panya au kuharibiwa na maji
 
Back
Top Bottom