mkuu the bold naomba link ya vipepeo episode ya 15 hadi ya 24 coz nazitafta hadi nimechoka jinsi ya kuzipata hapa na kule kwenye website nimeingia ila nimekuta kuazia episode ya 25... naomba link mkuu tafadhali
ivi kwanin kila media mpya ikianzishwa lazima ifananishwe na clouds na sio itv..eatv n.k?? .. apo ndo utakapojua kwamba watu pamoja na kuiponda clouds humu jukwaani lakin masaa 24 wanaiangalia na kuisikiliza......big up clouds kweli mti wenye matunda ndo hupigwa mawe... kama huiangalii au...
kumbe wasanii wanalipwa pesa nzuri tu fiestani!!... 5mil up to 6mil per show..... kumbe zile laki mbili zinazosemwa humu ni unafki wa wabaya wenu...hongera ruge kwa kuliweka wazi hilo leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.