Asante Majizo na TV E

Asante Majizo na TV E

ivi kwanin kila media mpya ikianzishwa lazima ifananishwe na clouds na sio itv..eatv n.k?? .. apo ndo utakapojua kwamba watu pamoja na kuiponda clouds humu jukwaani lakin masaa 24 wanaiangalia na kuisikiliza......big up clouds kweli mti wenye matunda ndo hupigwa mawe... kama huiangalii au huisikilizi umejuaje haya unayoita makelele ya fursa...tunakufungulia dunia...fursa n.k....umeyasikia tv e au efm au eatv? tuache unafki wabongo.
 
ivi kwanin kila media mpya ikianzishwa lazima ifananishwe na clouds na sio itv..eatv n.k?? .. apo ndo utakapojua kwamba watu pamoja na kuiponda clouds humu jukwaani lakin masaa 24 wanaiangalia na kuisikiliza......big up clouds kweli mti wenye matunda ndo hupigwa mawe... kama huiangalii au huisikilizi umejuaje haya unayoita makelele ya fursa...tunakufungulia dunia...fursa n.k....umeyasikia tv e au efm au eatv? tuache unafki wabongo.


Makelele yao tunayasikia kwa majirani wanavyolalamika station zimezidi matangazo kuliko burudani
 
Sija iangalia hiyo TV ila kwa Clouds Tv ni moja ya tv mbovu hapa Tz, kwa hiyo hata wasilenge kushindana na Cloudz tv walenge at least kushindana na EATV maana ndiyo Tv ya burudani yenye viwango vya juu hapa bongo
afadhali kama wamekuja watu wenye quality zao.
IPP media wana standard inayoeleweka sana
 
Hawa jamaa wanatisha sana nimeshangaa kuikuta hapa mwanza imo pia kwenye cable tv yao ya hapa mwanza. E tv inatisha kwa kweli
 
ivi kwanin kila media mpya ikianzishwa lazima ifananishwe na clouds na sio itv..eatv n.k?? .. apo ndo utakapojua kwamba watu pamoja na kuiponda clouds humu jukwaani lakin masaa 24 wanaiangalia na kuisikiliza......big up clouds kweli mti wenye matunda ndo hupigwa mawe... kama huiangalii au huisikilizi umejuaje haya unayoita makelele ya fursa...tunakufungulia dunia...fursa n.k....umeyasikia tv e au efm au eatv? tuache unafki wabongo.
Haya tumekusikia Sam Sasali
 
Back
Top Bottom