Ruge amzungumzia Jaydee, Ruby, Rama Dee, Diamond, THT, Fiesta na Muziki wa Bongo Fleva ndani ya XXL

Iko hivi, wanaomshutumu wakati wanamshutumu huwa na jazba na hasira, wote tunafahamu, mtu akiwa katika hali hiyo mara nyingi ataongea bila mpangilio.

Jiulize kwann na yeye huwa hajibu hapokwahapo bali husubiri hasira zake za kutajwa vibaya ziishe, kisha anajipanga vyema ili kuja kujibu hoja.

Hapo mnaona jamaa muungwana kweli na kusahau yote aliyolalamikiwa na wasanii.

Kwa fikra hizo mnazoonyesha, zidumu fikra za mwenyekiti,kidumu chama, acha tuisome namba.
Hivi ulishawahi kujiuliza miaka nenda rudi kwanini hajatokea mwingine mwenye kuwalipa wasanii vizuri, mwenye kuandaa show kubwa, mwenye kuibua vipaji kama yeye?
Jibu ni kwamba watu wanalalamika lakini wanamtegemea yeye huyo huyo.
Na huwezi waridhisha watu wote maishani, jamaa mfanya biashara kwa hiyo usitegemee atafanya kitu bure bure tu.
Ni free market wanaolalamika kwanini wasilete competetion ya kueleweka wakaandaa show wakawalipa wasanii vizuri wakakuza vipaji?
 
Kwa kweli kuhusu rama D,sifahamu chochote,ila kama alivyonukuliwa hapo juu inaonekana kuna tatizo ambalo hajaliweka wazi.
Rama dee ni kinega naye aliunga tela la sugu akidhani sugu anapigania maslai ya wasanii kumbe anadai maslai ya ela ya project ya malaria, alipoitwa kusuruhishwa wayamalize na ruge hakukumbuka hata kuwapa taarifa wenzake akawaacha na njaa mpaka wengine walienda omba msamaha clouds.
Toka hapo nilijifunza kitu kimoja, ukiona vita imeanzishwa usiunge tela bila kujua ni nini hasa aliyeanzisha anachopigania..
 
Ruge yuko smart na anajua kucheza na nyakati...anajua kutengeneza bifu kutengeneza hela.. anajua kukojikomba na kunyenyekea.inategemea nan yuko mbele yake!.ni opotunist!
 
Ruge yuko smart na anajua kucheza na nyakati...anajua kutengeneza bifu kutengeneza hela.. anajua kukojikomba na kunyenyekea.inategemea nan yuko mbele yake!.ni opotunist!
Ndio fursa zenyewe anazokwambia yani inabidi kujiongeza...
Mheshimiwa Makonda we humuona alivyokamatia fursa
 
Jamaa yuko vizuri, ila ningependa kama wangemaliza bifu na Ladyjayde na rama dee tunakosa mziki wao mzuri hasa r&b ya rama d

Kiukweli steshen nyingine zinapiga ile hazipewi promo ya kutosha unaweza zisikia kwa mwezi mara moja
Angetumia tu busara za kiutu uzima hata kama wao hao wasanii ndio walikosea
Mkuu kwani hujaskiliza hayo mahojiano Ruge amesema hana bifu na jide walisha yamaliza ila anasubiri jide atoe kibali nyimbo zake zianze kuchezwe clouds
 
kumbe wasanii wanalipwa pesa nzuri tu fiestani!!... 5mil up to 6mil per show..... kumbe zile laki mbili zinazosemwa humu ni unafki wa wabaya wenu...hongera ruge kwa kuliweka wazi hilo leo.
 
Soko la mzik Tanzania lipo open kwa kila mwenye mtaji, jisajili Basata then anza kutafuta vipaji upige pesa. Suala la kulaumu Clouds wanabania wasanii wakati kuna redio station zaidi ya 20! Tatizo wabongo wivu umetujaa!!!!!!
 
Jamaa yuko vizuri, ila ningependa kama wangemaliza bifu na Ladyjayde na rama dee tunakosa mziki wao mzuri hasa r&b ya rama d

Kiukweli steshen nyingine zinapiga ile hazipewi promo ya kutosha unaweza zisikia kwa mwezi mara moja
Angetumia tu busara za kiutu uzima hata kama wao hao wasanii ndio walikosea
Jamaa yuko poa tu labda hide ndo awe na shida, wamalize tu tofauti zao ,labda awe anaongea unafk kwenye radio
 
Alikuibia nini hebu tujuze kidogo
Kuibiwa sio lazima niwe niliibiwa mimi.

Ndio maana sio kila unachokijua kiliwahi kukutokea wewe mwenyewe.

Ndio maana hata demu akiitwa malaya hiyo haimaanishi kuwa wanaume wote mtaani kwenu waliwahi kupiga wengine walitoswa na huyo huyo.
 
Mwenye tatizo ni JD na sio Ruge, kwani ni JD ndie alietoka hadharani na kuanza kuwatukana clouds fm bila kutaja sababu na kuwakatza wasipige nyimbo zake katika redio yao(clouds fm) na siku akifa wasifike kumzika na wakifika watu watakao kuwepo wawapige mawe Ruge na Kusaga,huo ni usia aliouandika hadharani na watanzania wengi waliuona na JD hakutoa nafasi ya suluhu kwa kuwa hakutaka hilo.
No kweli alisema, no binadamu Ana hisia na hasira, ukijumlisha na kabila lake na jeuri ya ustaa, but wamalize tofauti zao tu maisha yaende
 
Back
Top Bottom