Recent content by Goldzone

  1. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mimi kwangu angemchukua Duran jamaa ni goalmachine afu powerful hana mbwembwe afu miaka 21 mshahara bado mdogo
  2. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Aisee hivi dogo umeomuona vizuri au unaongea tu huyo dogo hapa juzi City na Chelsea walitaka kufanya hujuma Arsenal ilibidi waingilie kati ndo akasajiri mkataba bonge la kiungo hilo.
  3. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Uko sawa kabisa
  4. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii kitu watu wanachukulia poa lakini mimi niliifatilia kuna mchezo
  5. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Inaweza kuwa hujuma maana wao walikuwa hawatelezi ni kama walijiandaa na viatu vya mvua
  6. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Afu hawa Liverpool kuna kitu walifanya uwanjani baada ya halftime wachezaji walikuwa wanateleza sana uwanja uchunguzwe.
  7. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na Santiago Gimenz pia
  8. G

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Huyu sio mpambanaji kwahiyo sio rahisi kuumia wa hivi huwa hawaumii
  9. G

    Mwanza City: The Photo Gallery

    Nimeiona Kaka 🙏🙏
Back
Top Bottom