Recent content by Gola Magola

  1. Gola Magola

    Mchepuko kaenda kudai hela ya matumizi kwa mke wangu, baada ya kumpotezea

    Ndo tatizo la kunyoosha vizuri, hio nguvu ungetumia kwa mkeo wala usingewaza ujinga ujinga. Njia kuu unagusa gusa afu mchepuko unasimamia kucha, ndo madhara yake hayo kaka. Afu kesho ukisikia boda boda anakunyooshea unarusha ngumi. Jipange tu kiume ukayamalize najua wanaume hatukosi vya kujitetea.
  2. Gola Magola

    Yutong na Scania

    ile scania ya happy nation ilikuwa inaitwa sauti ya manka acha kabisa mzee, nakumbuka tuliikodi wanachuo mbeya ilitoka saa 12 asubuhi dar tulifika saa 9 kipindi ile hakukuwa na tochi wala checkpoint. umenikumbusha mbali aisee ndugu.
  3. Gola Magola

    Je, Hawa jamaa wengine kwenye picha hii wako wapi?

    zamani katika family story ndani ya nyumba. mzee: mnamuona yule (labda mtu aliyefanikiwa kimaisha au kiongoz fulani) tumesoma nae tena alikuwa anakaa hapa mimi pale na ni rafiki angu mkubwa. watoto: aisee kumbe baba umesoma nae yule (huku akimuona baba ake bonge la mtu) leo sasa katika hali...
  4. Gola Magola

    MATUMIZI YA SIM CARD SLOT KWENYE LAPTOP

    ngoja nilifanyie kazi wazo lenu
  5. Gola Magola

    Ni nini tofauti ya speed katika vyombo vya moto

    yaaani kwa maelezo ya huyu mtu kamaliza maswali yote, big up kwa ushirikiano. [emoji106] [emoji106] [emoji106]
  6. Gola Magola

    MATUMIZI YA SIM CARD SLOT KWENYE LAPTOP

    Habari wana JF, napenda kujuzwa jambo hili la jinsi ya kutumia hio sim card slot kwenye laptop, maana laptop nyingi zinakuja na hio slot na wengi wetu kama mimi hatujui jinsi ya kuzitumia. mwenye kujua tafadhari nijuze. asante.
  7. Gola Magola

    Jamani nisaidie kuna wimbo nautafuta sana

    Huo Hapo Mkuu
  8. Gola Magola

    Staili nyingine ya wizi ATM

    tatizo unaongea kilugha cha kwenu, ungenyoosha kiswahili na kueleza kiurefu imekuaje tungejua ushauri gani unakufaa. hizo data zako kaa nazo wala hatuzitaki na sisi
  9. Gola Magola

    Usain Bolt aingia kwenye kashfa ya picha za mahaba na mwanafunzi

    mwanafunzi afu wako nae kwenye kumbi za starehe?
  10. Gola Magola

    Hivi wanaotoa elimu za Ujasiriamali wao wametajirika?

    mawazo finyu haya... fikiria kwanza mwalimu wako wa msingi, sekondari na chuo. (kama umesoma lakini) wako wapi sasa... mtu kuwa na elimu na kitu na kukitoa kwa watu haina maana umpekue na kujua kafanikiwa vipi kwanza... cha kushukuru yeye kawa muwazi kwako ili kama ni safari ya mafanikio muwe...
  11. Gola Magola

    Baba mchungaji na Mama mchungaji

    watu wafukunyuku [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom