Recent content by gogozito

  1. G

    Ofisi za abt associates-wajibika project

    Ipo mikocheni, Makutano ya barabara ya rose garden na kibo.
  2. G

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    ama? unauliza au unajibu wewe vipi
  3. G

    Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    kaka tueleze ni mji gani huo ili na sisi tukatembelee. hongera kwa ushirikiano
  4. G

    Tra,hili halikubalik!!!!

    1. Nyie wamiliki wa bodaboda mmewafundisha madereva wenu maadili ya kuendesha hizo pikipiki barabarani, huo ni ujinga wa dereva wako kujichukulia sheria mkononi, si angesimama na kupewa maelekezo. 2. Mnajua hizo kadhia wanazosababisha pindi ikitokea ajali hata kama wanamakosa.ni vifo vingapi...
  5. G

    MBWA WANAUZWA, Belgian Shepherd Malinois

    nipatie jike moja
  6. G

    Kama hujafanya haya wewe haujakaa uswazi. (uswahilini)

    Kombolela halafu wewe na demu wako mnakuwa wa mwisho kujitokeza,kumbe mlikuwa mna ..... Longtime kitambo
  7. G

    Fancing wire wapi zinapatikana kwa bei nzuri?

    Wana JF tusiwe tunakimbilia kuomba mtu aku PM, toa ushauri na wengine waone then omba aku PM. Huu ni mtandao wa kuelimishana
  8. G

    Usifungue thread hii utani huu siyo

    "Malota Soma na Mpira, Malota Soma na Mpira, Ona kwanza we Ta Muganyizi Pua kubwa mpaka ukifunga Macho Pua linasoma maandishi.
  9. G

    Kiwanja Kinauzwa Goba Kunguru

    Hizo ni square 1800 bei ya square metre ni 7000, unatakiwa uuze chini ya milioni 12 kaka. Madalali mnaharibu sana biashara
  10. G

    Tutafakari hizi hoja za posho ktk upana sahihi

    Ndugu wana JF hii ishu ya posho naona italipeleka taifa sehemu mbaya nionavyo mimi ni lazima iundwe kamati ya kitaifa ijadili ishu za posho kwa ujumla ikizingatia umuhimu wa kila mtumishi na mkulima naye apate posho katka kada zote. tujadili
  11. G

    jamani wale wa miaka 50 ya uhuru

    JF.wakubwa tujikumbushe wenyewe ktk elimu yetu 1.Katoka baba mmoja toka safari ya mbali,kavimba yote mapaja .... 2.Karuka tena karuka mtini hakufikia ...... 3.Baba ana ng'ombe,Ng'ombe ni mkali..... 4. 5. 6. Tumetoka mbali
  12. G

    Huduma ya kuletewa maji kwa matumizi ya nyumbani - kwa water tanker

    kaka kuchimba kisima siyo lazima uwe na kiwanja kikubwa, mambo yamerekebishwa sana bomba linachimbiwa chini urefu hata metre 72 mpaka 90 unapata fresh water. usikate tamaa jaribu kuukataa umaskini kwa kujitegemea.
  13. G

    Chadema kutoka mjadala wa katiba

    Kwa nini kila mbunge anayechangia lazima anaitaja chadema kasolo mh fatuma amejikita ktk mjadala .hapa kuna mawili 1.Wametoka nje ya mjadala 2.Ni jambo ambalo hawakutarajia chadema kutoka
  14. G

    Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

    Nenda veta muone jamaa anaitwa bukuku atakupa msaada mkubwa
Back
Top Bottom