Recent content by Godwin M Mroso

  1. Godwin M Mroso

    Je, Lissu anajijenga ili kugombea Urais 2020?

    Kama kungekuwa na option ya dislike ningeitoa kwenye hii post
  2. Godwin M Mroso

    Employment opportunities internal and external advertisement

    Safi sana na hongereni TANESCO Kwa kutumia JF
  3. Godwin M Mroso

    TANZIA: Aliyewahi kuwa mbunge wa Moshi Mjini, Mzee Philemon Ndesamburo(CHADEMA) aaga dunia

    Kweli kila nafsi itaonja mauti, Apumzike kwa amani mzee ndesamburo. Raha ya milele umpe eee bwana. Mbele yako nyuma yetu.
  4. Godwin M Mroso

    Maxence Melo: Neno la shukrani kwa wote

    Pole sana rafiki yangu maxence melo,
  5. Godwin M Mroso

    Leo ni siku ya kuzaliwa ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete

    Happy birth day rais wetu mstaafu Mwenyezi Mungu akujalie maisha marefu ya Furaha , amani ,upendo
  6. Godwin M Mroso

    Mahakama ya Kisutu yawanyima dhamana Harry Kitilya, Sioi Sumari na Shose Sinare

    Duuh aisee, pole sana. sasa mbona kama unaendelea kuexpose madudu yake ya kukupatia kazi kiupendeleo, halafu halafu unakuwa kama unamuonea huruma.
  7. Godwin M Mroso

    Naomba kujua kazi za katibu tawala na mkurugenzi kimkoa

    Kwa kifupi sana ngoja nikusaidie kidogo. Kwa sasa hivi kwa mujibu wa Muundo wa Serikali za Mikoa hakuna Cheo cha Mkurugenzi wa Maendeleo wa Mkoa, Cheo hicho kilifutwa mwaka 2002 ambapo kikaanzishhwa cheo cha Katibu Tawala Wa Mkoa. Story ya ( Wakurugenzi wa Mikoa ma RDD ni ndefu sana Wilayani...
  8. Godwin M Mroso

    Rorya tumewakosa Maria Sarungi na John Mashaka. UKAWA tuleteeni jiwe tutalipa kura

    huyu lameck airo ana hoja yake kwamba, pamoja na ukweli kwamba hajaenda shule sana, ameajiri wasomi ambao wanamfanyia kazi na anawalipa
  9. Godwin M Mroso

    CCM Mbinga kwawaka moto wa wenyewe kwa wenyewe

    nani huyo anataka kumchakachua bosi wa uvccm, mi namkubali bw sixtus kama ameshinda apitishwe tu mate wangu ni kiongozi
  10. Godwin M Mroso

    Zahara Muhidin Michuzi ajitosa viti maalum Tabora

    aisee hongera zake Zahara, nakutakia kila la kheri na mafanikio katika safari hiyo.
  11. Godwin M Mroso

    Tulipanga kuoana lakini kabadili mawazo

    Tafuta mwengine sio lazima awe yeye
  12. Godwin M Mroso

    Kafulila vs Zitto, Nani aliibua hoja ya Escrow Bungeni?

    Tumbiri ndiye aliyeanzisha, big up sana kwake, tumeona jinsi Mwizi na kundi lake walivyosambaratika
  13. Godwin M Mroso

    Ngeleja apongezwa na wananchi

    huyu alilamba 40 m za escrow sio 400m, escrow imemuharibu hata udiwani sidhani kama atapata
  14. Godwin M Mroso

    Eti Makonda kugombea Ubunge jimbo la Ubungo!

    sidhani hata kama atapitishwa na chama chake
Back
Top Bottom