Labda madili yake ya Richmond, Dowans, IPTL na Escrow yamefanya bili yake ya umeme ipande, na yeye hapendi kutumia kibatari?Duh! Una Ugomvi naye? Kafanyaje nzee wa watu?! Kwani kakuchukulia nkeo mpaka uwe na hasira naye hivyo?!
Labda madili yake ya Richmond, Dowans, IPTL na Escrow yamefanya bili yake ya umeme ipande, na yeye hapendi kutumia kibatari?Duh! Una Ugomvi naye? Kafanyaje nzee wa watu?! Kwani kakuchukulia nkeo mpaka uwe na hasira naye hivyo?!
Ni mshenzi type
Kwa ulichoandika mi nadhani we ndo mshenzi type. kingine kua na nidhamu kwa wakubwa siasa isikutoe ufahamu wako,
Ndio nyie mkipigwa mnaanza kuwaona walimu wabaya!!
" Eti wanasema JK hachomoi.....kwani nimechomeka nini? "
HBD JMK.
Duh! Una Ugomvi naye? Kafanyaje nzee wa watu?! Kwani kakuchukulia nkeo mpaka uwe na hasira naye hivyo?!
Happy birthday Baba Ridhimoko, wish you maisha marefu sana Mkuuu
Kwan hujui anawatoto wa kila kabila na mie ni wakwakeMkuu naona we ni moja kati ya watoto wa mfalme jk
So what? Tuifanye iwe sikukuu ya taifa?Leo Oktoba 7 ni kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa ya Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete. Alizaliwa Oktoba 7, 1950. Amekuwa madarakani kuanzia tarehe 21 Disemba 2005 hadi tarehe 5 Novemba 2015.
View attachment 413694
Neno moja kwake.