Mkuu ulichosema kuna jamaa alikuja mkoani kwetu kutoka makao makuu ya nchi amekunywa bia usiku mzima asubuhi analalamika kuwa bia za huku kwetu hazijaiva anakaza tumpeleka kiwanja chenye bia zilizoiva [emoji1][emoji1][emoji1]
Safi sana abiria wanakaa muda mrefu kwenye vituo kusubiri usafiri wakati Kituo cha gerezani,Kimara mwisho pamoja Jangwani mabasi yamejaa kibao kisa mabavu wakati uwezekano wa kuyatengeneza na kurudi barabarani upo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.