Mi nishatoa tahadhali siku nikimfuma asitegemee msamaha ndoa inaisha hapo hapo yaani ukabebe masha...wa ya watu huko na mimi niogelee kwenye mauchafu na kunifedhesha nionekane naishi na malaya atatafuta mume mwingine.
Ndio maana tunachupuka hao ni kama wanawake watano umeunganisha sifa zao mwanamke mtamu sana hana sifa za kuwa mke,mwenye heshima mvuto hakuna,msomi na anayekwenda na wakati hafai kuwa mke,mwenye shepu nzuri na sura nzuri anajiamini sana any time anapata mwanaume tajiri, wife material mvuto...
Tunasubiri kutimia kwa yale maandiko"tutajinunulia mavazi na chakula wenyewe ili mradi tuitwe kwa jina lako tufichie aibu" mtoa mada pole sana humu single mother ni kama wote hata habari za kuolewa hawana kabisa wanawaza kurushiwa vi laki vya kula na watoto wao wanakuchora tu.
Huyo Padri amenogewa na siasa za kiharakati mpaka emejisahu kama yeye ni mtumishi wa mungu.Kanisa katoliki washtuke kutoka usingizini hawana Padri ila mwanasiasa wa CDM mpinga Serikali tukufu ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.