Kuna kampuni inaitwa CASCO CONSTRUCTION ni wazawa wanavifaa bora na vya kutosha katika sekta ya ujenzi na kazi zao zinapendeza kiukweli lakini hatuoni wakipewa tender za ujenzi wa barabara na madaraja mfano mzuri ni barabara ya kutoka Tarime mjini kwenda Nyamongo ni shida kwa kweli
Tatizo kamdomo huo ukweli una faida gani kwenye maisha yake angeteuliwa yeye kuwa mgombea pekee wa ubunge jimboni kwake angeongea hizo pumba zake.Kazi kutafuta umaarufu usio na msingi au alilazimishwa kuwa CCM,wanachana wamekaa wakakubaliana nani awe mgombea wao na wakapitisha hivyo huyo...
Wanasomesha watoto shule za bei Kali,wanataka kumiliki hotel za hadhi ya juu,kuendesha magari ya kifahali na kafanikiwa maisha kiujumla haya mambo bila viujanja ujanja na kupata forum ya kupigia pesa hasa kutoka kwa wanyonge huwezi kufanikisha hayo mambo.
Hizi siku ambazo M23 wamesitisha mapigano wanakuwa na shughuli gani kama sio ku train wanajeshi wapya baada ya kuzidiwa nguvu ili watudi kwenye uwanja wa vita.Hao jamaa hawawezi kupoa mpaka Kongo ya mashariki iwe nchi inayojitemea ndio utakuwa mwisho wa hiyo vita kwa sasa wanaenda kunywa kahawa...
CHADEMA wanawaza kugawana madaka na CCM wamechoka kufanya kazi bila mishahara.Hayo mambo mnayoyataka subirini na nyie mshike nchi kitu ambacho ni kigumu kutokana na chama kutokuwa na mvuto wa kisera na kiutendaji.
Mwanamke anachoweza ku offer ni papuchi tu,anaweza kuwa mfanyakazi tena mishahara yenu inalingana wewe utakwama kuendelea na ujenzi yeye yupo bize kumalizia nyumba ya mchungaji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.