Recent content by Godo

  1. Godo

    Ujenzi wa daraja la Mkuyuni na Mabatini Mwanza: wananchi wamkataa mzawa, wataka apewe mchina: Somo-tujifunze uchapa kazi, tusibebabe kwa uzawa

    Kuna kampuni inaitwa CASCO CONSTRUCTION ni wazawa wanavifaa bora na vya kutosha katika sekta ya ujenzi na kazi zao zinapendeza kiukweli lakini hatuoni wakipewa tender za ujenzi wa barabara na madaraja mfano mzuri ni barabara ya kutoka Tarime mjini kwenda Nyamongo ni shida kwa kweli
  2. Godo

    PreGE2025 Aliyekosoa uteuzi wa Samia kuwa mgombea Urais ahofia maisha yake

    Tatizo kamdomo huo ukweli una faida gani kwenye maisha yake angeteuliwa yeye kuwa mgombea pekee wa ubunge jimboni kwake angeongea hizo pumba zake.Kazi kutafuta umaarufu usio na msingi au alilazimishwa kuwa CCM,wanachana wamekaa wakakubaliana nani awe mgombea wao na wakapitisha hivyo huyo...
  3. Godo

    Uongozi mpya wa CHADEMA hauna mpango mkakati wakujitegemea kiuchumi wala kujiendesha bila kuomba pesa kwa wananchi masikini

    Wanasomesha watoto shule za bei Kali,wanataka kumiliki hotel za hadhi ya juu,kuendesha magari ya kifahali na kafanikiwa maisha kiujumla haya mambo bila viujanja ujanja na kupata forum ya kupigia pesa hasa kutoka kwa wanyonge huwezi kufanikisha hayo mambo.
  4. Godo

    Mwanaume aliyelelewa na mama peke yake, ni mtu wa aina gani?

    Wamama wanalea watoto wa kiume katika pigo za watoto wa kike ule u gentleman una pungua kijana anadeka sio poa kabisa.
  5. Godo

    Mzozo wa DRC: Waasi wa M23 watangaza Kusitisha Mapigano kwa 'Sababu za kibinadamu'

    Hizi siku ambazo M23 wamesitisha mapigano wanakuwa na shughuli gani kama sio ku train wanajeshi wapya baada ya kuzidiwa nguvu ili watudi kwenye uwanja wa vita.Hao jamaa hawawezi kupoa mpaka Kongo ya mashariki iwe nchi inayojitemea ndio utakuwa mwisho wa hiyo vita kwa sasa wanaenda kunywa kahawa...
  6. Godo

    Nahisi nimeambukizwa virusi vya UKIMWI

    Ili kuepukana na hiyo stress vijana acheni kula peku.
  7. Godo

    Wassira siyo muumini wa Rasimu ya Warioba wala Serikali 3, sasa Maridhiano yake na Chadema sijui yatahusu nini Nje ya Katiba Mpya!

    CHADEMA wanawaza kugawana madaka na CCM wamechoka kufanya kazi bila mishahara.Hayo mambo mnayoyataka subirini na nyie mshike nchi kitu ambacho ni kigumu kutokana na chama kutokuwa na mvuto wa kisera na kiutendaji.
  8. Godo

    Ushauri wa Bure: Lissu, akishachukua chama, aanze na haya yaliyomshinda Mbowe kwa miaka 21!

    Alikuwa Raisi wa TLS nini cha maana au mabadiliko gani aliyafanya.
  9. Godo

    Kati ya course ya political science na ile ya international relations zina ajira za uhakika?

    Soma kitu ambacho ni fani mfano sheria uwe mwanasheria,uhasibu ili muhasibu sasa international relation we inakuwa mdandiaji na mpiga ramli tu.
  10. Godo

    Waliooa wanawake wanaofanya kazi

    Mwanamke anachoweza ku offer ni papuchi tu,anaweza kuwa mfanyakazi tena mishahara yenu inalingana wewe utakwama kuendelea na ujenzi yeye yupo bize kumalizia nyumba ya mchungaji.
Back
Top Bottom