Nadhani ni wajibu wanawake kujielimishaa namna ya kukubali uumbaji wa Mungu na kuwa wanyenyekevu... Kumlinda mtu mwenye kibri ni ngumu Sana... Mtu mwenye hisia nyingi na asie sikiliza ni ngumu pia
Kubari upo kwenye kipindi cha ugumu na mapito... Kama mwenza hakuelewi.. Acha Mungu akuelewe. Kuna maisha marefu Zaid ya iyo changamoto maana haitovuka mwaka
Imekaaa poa. Nimechukua. Maskini hukimbia matatizo na matajiri huruhusu matatizo wajipime. Sawa na ukitaka kutafuta ela nzuri. Tumia pesa ili uone inavyo toka na kuingia.
Watanzania tusipende kurahumu na kushutumu tusivyo vijua, nilisha ona hiyo story ni ya uongo kitambo tangu inaaanza, maaana angebakwa angealinika kipind hicho, huyo demu atakuwa mzushi kweli, ila kwa kuwa kapuya ana stutas ndio maaana na wajinga wengi mnapenda kushikilia bango, fanyenu yenu afu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.