Nauza mbwa aina ya bull dog

Nauza mbwa aina ya bull dog

Mimi pia nauza mdogo ana miezi miwili masikio yamelala colour black n khaki

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Huyu Giant Schnauzer unae?


giant-schnauzer.jpg
 
Kwa wanaofahamu mbwa, hasa intelligent dogs kama German Sherpherd au Rotwailler hiyo ni bei ya kawaida sana. Kuna wengine wanauza mpaka kufikia USD 800. Pengine ni vema kujifunza kwa nini wana gharama hivyo.
 
Kwa wanaofahamu mbwa, hasa intelligent dogs kama German Sherpherd au Rotwailler hiyo ni bei ya kawaida sana. Kuna wengine wanauza mpaka kufikia USD 800. Pengine ni vema kujifunza kwa nini wana gharama hivyo.

Sema wewe mkuu nikisema mie naonekana sijui! Kwanza wengi wao hawajui nini maana ya neno BULL?? Kwa taharifa yao wapo mpaka nyoka wanaoitwa BULLSNAKE, na kuna wale samaki sisi tunawaita PAPA, sasa yupo papa anaitwa BULLSHARK, sasa wao neno bull wanajua ni NG'OMBE
 
Sasa kama umeshatapa wateja humu ulifuata nini au ilikuja kupima upepo

Kwani wewe ulilazimishwa kuandika chochote kwene comment yangu au unaleta shobo? Sio kupima upepo tu ata ww ukihitaji kupimwa utapimwa tu shaka ondoa tupo duniani kwa ajili ya watu kama nyie
 
Kwa wanaofahamu mbwa, hasa intelligent dogs kama German Sherpherd au Rotwailler hiyo ni bei ya kawaida sana. Kuna wengine wanauza mpaka kufikia USD 800. Pengine ni vema kujifunza kwa nini wana gharama hivyo.

Mara nyingi bei zinakuwa kubwa kulingana na aina ya matunzo wanayopewa, lakini pia hapa kwetu Tanzania hatuna wale parent breeder ambapo inakulazimu ukitaka kuwa na mbwa halisi (pure breed) ni mpaka uagize nje ya nchi ama umptate mwenye nae hapa tz, vinginevyo hawa mbwa wengi tulio nao na cross breeds (mchanganyiko wa kisasa na kienyeji ama machotara na wa-kisasa).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom