Hicho kichwa kweli kigumu hata kufuatilia kidogo tu imekushinda? nina wasiwasi na umri wako pengine ulikua DRS 4 au kama ni mtu mzima jitafakari kidogo pitia hapa kwanza "2009 flu pandemic - Wikipedia" kwa hulka yako najua utakua mvivu kusoma na kuelewa.
Kama hujui historia ya magonjwa kuwahi kutokea duniani bora ukae kimya, hao wamarekani wenyewe 2009 walikufa kama kuku zaidi ya watu 12,000 virusi vya H1N1(Swine flu), kufikia October 24, 2009 OBAMA declared national emergency..tema mate kabla ya kushabikia ujinga
Kwa kukusaidia tu mwaka 1918...
inawezekana kuna ukweli ndani yake na walishakiri kununua hiyo tec. kutoka Urusi na kuitumia kushambulia maeneo ambayo Syria ilikuwa ikijaribu kufanya program za nyuklia (mpango mzima ukiratibiwa kutoka North Korea ukashtukiwa, wakayasambaratisha maeneo yote) kwa kifupi pesa inaongea.
Haya ndo yale yale watu wanaimba kanisani "BORA UTESEKE DUNIANI MBINGUNI UKAPATE RAHA" she*nzi kabisa, yani tunahubiriana vitisho, ubabe, na kuwa masikini wa roho (utokanao na umasikini uliotukuka)? tuwazeni nje ya box wajameni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.