Kanuni mpya za usajili wa laini za simu: Masuala muhimu ya kujua

Marwa_J_Merengo,
Nchi zingine ambako serikali inajaribu kubana wananchi, watu wameshazoea kutumia programu za VPN. Hapa anwani yako haionekani tena. Kuna chaguo mbalimbali, angalia
Binafsi naona psiphone ni app nzuri kwa simu na laptop. Kama network ni dhaifu inaweza kukuchelewesha.

Faida nyingine: ukitaka kuangalia kitu kinachobanwa kwa nchi moja (kama michezo Tv inayoruhusiwa tusema kwa Marekani pekee, basi kwenye priphone unachagua uko Marekani na utaangalia)
 
Vyovyote iwavyo, kusajili hizi simu kwa kitambulisho cha NIDA ni mpango mzuri. Utasaidia kupunguza (si kumaliza) uhuni mwingi uliotendwa nchini.
Ni kweli kabisa kuna baadhi ya uhuni kama vile watu kupiga simu namba za bure(fire,police,ambulance) na kutoa taarifa za uongo utakuwa umepatiwa muarobaini kama hakutakuwa na loopholes kwenye huu usajili
 
Kama nimesajili line 2 za MTANDAO mmoja ili kurahisisha MAWASILIANO, moja natembea nayo, ingine naacha home kwa under age kids, kuna shida gani??
 
Matojo Cosatta, Am increasingly congratulating for your industry arguments you have put forward. However with great respect am dissenting from you proposition that this piece of subsidiary legislation is a SUBSTANTIVE as opposed to PROCEDURAL law for a simple reason that:-

The Said law solely provides for the
1. Requirements for reg of SIM cards etc.
2. Activation and deactivation of the same
3. Sale of SIM cards etc
4. Change of ownership

To writ, the law sole provides the manner on how SIM cards etc will be dealt with, thus the substantive is extended to the Authority and on how (procedure) to deal with. To be clear, this S. Legislation is not substantive to the customer (user of SIM card) but lay down procedures on how to own SIM card.

As it is not substantively to the User, but rather a procedural law, it can operate RETROSPECTIVELY as it is a trite principle of law in our jurisdiction that, procedural law can operate retrospectively, see for instance in RAYMOND COSTA vs MANTRA TANZANIA LTD CIVIL APPLICATION NO. 42/08 OF 2018 CAT-MWANZA.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
wanasiasa wa NCHI HII mmekalia kutoa maelekezo yasiyo na tija ili kulinda maslahi yenu.............. HAYA NAYO NI MAENDELEO AU NDIO NINI HASAA........?
 
nusuhela,
Aiseee umeongea point, mfano nina laini nne tayari kwa matumizi yangu binafsi,lakni nahitaji pia kuwa na laini ya NYUMBANI ili niweze kuwasiliana na wanaobaki nyumbani, yaani hapa naona kama hizi sheria zipo kwa malengo mahususi na sio kusaidia watu
 
hakuna cha kuwa salama hapo kwa ninavyo kumbuka wakti tunasajili kwa vitambulisho vingine arama ya vidole ilikuwa haichukuliwi hapa kama ilitokea ulisajili kabla kwa arama ya vidole ndy upo salama
Sio ukweli Kuna watu wamefungiwa mkuu
 
hakuna cha kuwa salama hapo kwa ninavyo kumbuka wakti tunasajili kwa vitambulisho vingine arama ya vidole ilikuwa haichukuliwi hapa kama ilitokea ulisajili kabla kwa arama ya vidole ndy upo salama
Sio ukweli Kuna watu wamefungiwa mkuu
 
Sasa ina maana hizo database za Facebook,twitter nk zitakuwa zinafikiwa na tcra ,kwa mtazamo wangu aliyeshauri kupambana na wakosoaji/watukanaji wa mtandaoni kwa kusajili line kwa alama za vidole hayuko vizuri kwenye mambo ya lT, labda kama anataka kuwakamata wale matapeli wa ile pesa tuma kwenye hii namba hapo sawa
Mimi ni mtaalamu wa mambo IT a computer engineering kama ulikuwa hujui database zinaweza zisilink ila TCRA ana mamlaka ya kuwaambia facebook, twitter, jamii forum etc

Watoe personal information za mtu na facebook wakatii amri lakini hawawez kutoa database zao zote NO ili kulinda soko lao
 
Mm ni mtaalamu wa mambo IT a computer engineering km ulikuwa hujui database zinaweza zisilink ila TCRA ana mamlaka ya kuwaambia facebook.twitter.jamii forum etc watoe personal information za mtu na facebook wakatii amri lkn hawawez kutoa database zao zote NO ili kulinda soko lao
Tcra wanaweza kuwaonea JF lakini si kuzishurutisha kampuni za mabeberu ambazo ukiziguza Trump anakuingiza kwenye tariff wars zake kama unabisha muulize mfaransa
 
Sasa nikiwa na laini zaidi ya moja inawauma nini, yani kuzaliwa Afrika ni umasikini wa fikra moja kwa moja
 
Mimi ni mtaalamu wa mambo IT a computer engineering kama ulikuwa hujui database zinaweza zisilink ila TCRA ana mamlaka ya kuwaambia facebook, twitter, jamii forum etc

Watoe personal information za mtu na facebook wakatii amri lakini hawawez kutoa database zao zote NO ili kulinda soko lao


Mamlaka ya udhibiti (regulatory authority) wa mawasiliano ya kielektroniki ya TCRA yako ndani ya mipaka ya Tanzania tu, TCRA haina mamlaka ya udhibiti wa mawasiliano ya kielektroniki nje mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, TCRA haina extraterritoriality jurisdiction, hivyo basi, haina nguvu au mamlaka kisheria kuiambia au kuihamuru mitandao ya kijamii ya nje kama whatsApp, instagram, facebook, twitter, au Telegram kutoa taarifa za wateja.

Pia, mitandao ya kijamii ya nje kama whatsApp, instagram, facebook, twitter, au Telegram haiwezi kutoa taarifa za wateja kirahisi rahisi hivi kwa sababu kufanya hivyo kutakuwa na athari kubwa kwenye biashara yao ambayo itasababisha irreparable loss on business reputation and image of such social networks.

Mamlaka ya udhibiti (regulatory authority) wa mawasiliano ya kielektroniki ya TCRA yako ndani ya mipaka ya Tanzania tu, hivyo, TCRA inaweza kutoa amri kwa mitandao ya kijamii ya ndani ya mipaka ya Tanzania tu kama vile Jamiiiforums na sivinginevyo.
 
Matojo Cosatta, Am increasingly congratulating for your industry arguments you have put forward. However with great respect am dissenting from you proposition that this piece of subsidiary legislation is a SUBSTANTIVE as opposed to PROCEDURAL law for a simple reason that:-

The Said law solely provides for the
1. Requirements for reg of SIM cards etc.
2. Activation and deactivation of the same
3. Sale of SIM cards etc
4. Change of ownership

To writ, the law sole provides the manner on how SIM cards etc will be dealt with, thus the substantive is extended to the Authority and on how (procedure) to deal with. To be clear, this S. Legislation is not substantive to the customer (user of SIM card) but lay down procedures on how to own SIM card.

As it is not substantively to the User, but rather a procedural law, it can operate RETROSPECTIVELY as it is a trite principle of law in our jurisdiction that, procedural law can operate retrospectively, see for instance in RAYMOND COSTA vs MANTRA TANZANIA LTD CIVIL APPLICATION NO. 42/08 OF 2018 CAT-MWANZA.


Sent using Jamii Forums mobile app

Really you have raised serious legal issue which worthy my reply. I am going to chip in later to address this vexata qustio. Much thanks for your appreciation, constructive criticism and employment of decent and professionally acceptable language. Kindly receive my profound and sincere appreciation. If you are a lawyer, then your are a lawyer in proper sense of the term.

I do hereby advise my friend macho_mdiliko to borrow a lief from you on deployment of decent and professionally acceptable language in endeavour to make constructive criticism.
 
Back
Top Bottom