Tuiombee China lasivyo uchumi wetu utayumba

Tuiombee China lasivyo uchumi wetu utayumba

Hicho kirusi mtakijua soon nani kakiengineer, tutor muda wa kutosha tu
Kama hujui historia ya magonjwa kuwahi kutokea duniani bora ukae kimya, hao wamarekani wenyewe 2009 walikufa kama kuku zaidi ya watu 12,000 virusi vya H1N1(Swine flu), kufikia October 24, 2009 OBAMA declared national emergency..tema mate kabla ya kushabikia ujinga

Kwa kukusaidia tu mwaka 1918 hadi 1920 Spanish flu ulichukua uhai wa watu zaidi ya milioni 40 duniani. Hiyo ndo Swine flu iliyojitokeza Mexico na baadae USA Mwaka 2009 na kuchukua uhai wa watu zaidi ya kumi na mbili elfu.

NB: Fanya udadisi kabla ya kuropoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani wachina walimpa bure hiyo simu. That's the bussiness he paid to get it.


China ni Coward acha wafe. Wakifika hata Milion 1 itakuwa poa Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app


Dini ipi inakufundisha kuwaombea vifo binadamu wenzio? Uko timamu kweli??


Je ikitokea huku kwetu janga kama hilo na kupelekea vifo and then atokee mchina acommentu upuuzi kama huo uliocoment utajisikiaje? Waafrika tuna matatizo sana, mabeberu washaharibu vichwa vyetu.
 
Bora kabisa China ianguke kabisa kiuchumi..
China ndiye muuaji mkubwa wa democracy Africa, ndiye mfadhiri mkuu marais wa dizaini ya akina mabotu wa Tanzania.
Bila China TL asingelipigwa Risali za kuuliza tembo.

*Fake you Chine*... MAMAEEEEEEE

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe na waliokupa likes nyote mna matatizo. Kwanza hujui kuandika then uliongea mataputapu. Hoja zako zimekaa kama zimetolewa kilabuni wala hata hazina mashiko. Mkijijua hamkujaaliwa uwezo sana kiakili masuala ya kimataifa na siasa muwe mnayaacha. Changia mambo ya Biko, ligi, singeli, etc.
 
Kama hujui historia ya magonjwa kuwahi kutokea duniani bora ukae kimya, hao wamarekani wenyewe 2009 walikufa kama kuku zaidi ya watu 12,000 virusi vya H1N1(Swine flu), kufikia October 24, 2009 OBAMA declared national emergency..tema mate kabla ya kushabikia ujinga

Kwa kukusaidia tu mwaka 1918 hadi 1920 Spanish flu ulichukua uhai wa watu zaidi ya milioni 40 duniani. Hiyo ndo Swine flu iliyojitokeza Mexico na baadae USA Mwaka 2009 na kuchukua uhai wa watu zaidi ya kumi na mbili elfu.

NB: Fanya udadisi kabla ya kuropoka.
Dah adi state washakumbwaga na izo mambo!!, wengine tulikuwa machali ata atuelewei..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na waliokupa likes nyote mna matatizo. Kwanza hujui kuandika then uliongea mataputapu. Hoja zako zimekaa kama zimetolewa kilabuni wala hata hazina mashiko. Mkijijua hamkujaaliwa uwezo sana kiakili masuala ya kimataifa na siasa muwe mnayaacha. Changia mambo ya Biko, ligi, singeli, etc.
sikiliza DADA yangu, Nadhani content ya comment yangu ujaielewa.
alafu punguza mihemko, uko too emotionally sana. unajadili hadi LIKE?.
ebu eleza unapiga nini katika comment yangu, unapata wapi uhalali wa Kupinga wazo la mtu kwa maneno MATUPU?.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe na waliokupa likes nyote mna matatizo. Kwanza hujui kuandika then uliongea mataputapu. Hoja zako zimekaa kama zimetolewa kilabuni wala hata hazina mashiko. Mkijijua hamkujaaliwa uwezo sana kiakili masuala ya kimataifa na siasa muwe mnayaacha. Changia mambo ya Biko, ligi, singeli, etc.
typing error sio kutofahamu kuandika.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama hali ikiendelea hivi tutegemee team tecno & itel ambao ndio asilimia kubwa humu jf wakitoweka kabisa katika ramani za jf
 
sikiliza DADA yangu, Nadhani content ya comment yangu ujaielewa.
alafu punguza mihemko, uko too emotionally sana. unajadili hadi LIKE?.
ebu eleza unapiga nini katika comment yangu, unapata wapi uhalali wa Kupinga wazo la mtu kwa maneno MATUPU?.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nipinge kwa hoja utaelewa? Wewe unajiona umeandika hoja na si maneno matupu sio? Kwamba uliyoandika pale ni hoja zenye mashiko. Sasa sina haja ya kubishana na wewe kama akili zako zilikutuma uandike vile na bado unaona ulikuwa sahihi. Huwezi elewa.
 
Hao.wa marekani au kuku zako waliokufa 12000 ebu kawadanganye watoto wako huko. Wamarekani wafe 12000 afu taarifa uwe nazo peke yako.
Kama hujui historia ya magonjwa kuwahi kutokea duniani bora ukae kimya, hao wamarekani wenyewe 2009 walikufa kama kuku zaidi ya watu 12,000 virusi vya H1N1(Swine flu), kufikia October 24, 2009 OBAMA declared national emergency..tema mate kabla ya kushabikia ujinga

Kwa kukusaidia tu mwaka 1918 hadi 1920 Spanish flu ulichukua uhai wa watu zaidi ya milioni 40 duniani. Hiyo ndo Swine flu iliyojitokeza Mexico na baadae USA Mwaka 2009 na kuchukua uhai wa watu zaidi ya kumi na mbili elfu.

NB: Fanya udadisi kabla ya kuropoka.
 
Nipinge kwa hoja utaelewa? Wewe unajiona umeandika hoja na si maneno matupu sio? Kwamba uliyoandika pale ni hoja zenye mashiko. Sasa sina haja ya kubishana na wewe kama akili zako zilikutuma uandike vile na bado unaona ulikuwa sahihi. Huwezi elewa.
nikikuita muongo na msingiziaji utakataa? ni wapi nimekutaka ujibu hoja?,.

OK, anyway sidhani we ni mtu wa namna hiyo ila hapo tu inatosha kuonyesha kwamba unapenda kukimbilia kukoment kabla ya kusoma Maudhui ya jumbe ya mtu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao.wa marekani au kuku zako waliokufa 12000 ebu kawadanganye watoto wako huko. Wamarekani wafe 12000 afu taarifa uwe nazo peke yako.
Hicho kichwa kweli kigumu hata kufuatilia kidogo tu imekushinda? nina wasiwasi na umri wako pengine ulikua DRS 4 au kama ni mtu mzima jitafakari kidogo pitia hapa kwanza "2009 flu pandemic - Wikipedia" kwa hulka yako najua utakua mvivu kusoma na kuelewa.
 
Fanya kile moyo wako umekusudia.
Nb:
now nipo somewhere nagonga cha baridiiii, kuna Baharia kajikwa kwa bahati mbaya kwenye mguu wangu, akaanza kuniporomoshea matusi, mi nimeuchuna tu, then akanyamaza, ghafra nikampiga mzinga mkubwa wa konyagi, akabaki aamini amini kwa matusi aliyonimwagia,nimewambia waitress ampe Redblue apozee mzinga.
mi matusi uwa nayachukulia kama mashahiri ya mtu mwenye...

Sent using Jamii Forums mobile app
Redblue ndiyo nini!!???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom