Recent content by GODFREY GIITI

  1. GODFREY GIITI

    Notification inayotolewa na usalama barabarani ni jipu lingine la kutumbuliwa

    wewe unajibu kitu usichokijua na kama unakijua basi na wewe inawezekana ukawa miongoni mwa wausika, wakati inatolewa taharifa ya mapato ya faini kwa dar es salam kama ulisikia vizuri kuwa mapato yameongezeka mara dufu baada ya kutumia mashine za kielectrnic kwa nini hizo mashine zisiletwe...
  2. GODFREY GIITI

    Notification inayotolewa na usalama barabarani ni jipu lingine la kutumbuliwa

    Naomba wadau kuchangia mawazo kuhusu hili ni jipu kubwa ambalo mweshimiwa raisi atajitahidi kupambana rushwa wakati kwenye vyombo vya usalama ni shida
  3. GODFREY GIITI

    Notification inayotolewa na usalama barabarani ni jipu lingine la kutumbuliwa

    ukweli uko wazi kuhusu utoaji wa notification kwa makosa ya barabarani ni jipu kwa nini aiendi sambamba na risiti? inathibitisha kuwa vitabu vya notification ndivyo vinavyotumika kuchukulia pesa wakati zipo risiti azitolewi mpaka udai na kuipata mpaka utoke jasho na malanyigi madereva uachana...
  4. GODFREY GIITI

    Polisi kutotoa risiti ni jipu lingine la kutumbuliwa!

    Haiwezekani kosa la barabarani ni rahisi kuandikiwa notification kuliko kupewa risiti ya malipo ambayo ndio inayopeleka pesa hazina, ukitaka kujua hilo fanya kosa barabarani uombe risiti utaona mzunguko utakavyokuwa mkubwa mpaka utakata tamaa Kwanini serikali inalazimisha mfanyabiashara kutoa...
  5. GODFREY GIITI

    SAKATA LA LUGUMI: Tamko la Ofisi ya Bunge kuhusu mkataba wa LUGUMI

    Hi hivi ndivyo nchi yetu kwenye tv kinachoombwa ni mkataba lakini bunge linaongea vingine lengo ni kuficha kilicho kusudiwa
  6. GODFREY GIITI

    Nauliza tena ndani ya miaka 54 ya uhuru kuendelea kutegemea mtu badala ya system ni ujanja au laana?

    Usishangae hiyo ni turufu pekee ya ccm, zaidi ya hapo hakuna muujiza wa ccm kueleweka kwa wananchi, waliishi kwa mazoea ,eti hata ukiweka jiwe hukalipaka rangi ya kijani linashinda sasa mambo yamedadilika, makufuli sio mwana siasa kwa hiyo hata hakishindwa mwakani atapewa chama akiongoze kama...
  7. GODFREY GIITI

    Sumaye: Kinana anapiga dili za meno ya Tembo

    Ukawa kwa kupitia Mh Lowassa kampeini zimekuwa za kistarabu kuliko miaka yote hii ni dalili utawala unaamia upinzaini hakuna matusi ccm imekuwa sera zake ni matusi awajui kitendo hicho wanapunuza kura zao? mwaka huu wasipobadalika ccm inakuwa chama cha upinzani na makufuri ameisha washutukia...
  8. GODFREY GIITI

    Wafanyakazi waliosambaza Video ya Dr. Slaa akiingia chumbani Serena Hotel wafukuzwa kazi

    unatakiwa ufahahamu kuwa mungu umlinda alie wake , maana yake yeyote kwa wakati huu atakaepanga kitu chochote cha kumthulu mweshimiwa lowasa ambae ni mkombozi wa watanzania dhidi ya li sisiem ataumbuka ni mpango wa mungu
  9. GODFREY GIITI

    Picha ya Zitto Kabwe kwenye mabango ya wagombea Ubunge na Udiwani

    nasikitika sana kujibu usilolijua anaeogombea uraisi uja mthamini mtu baki ambae atauongozi wake aujulikani kimantiki ndie anaekwa kwenye mabango yote ya wagombea ubunge na udiwani tanzania nzima uoni huyo mungu wenu akichuja nyie watu wa kigoma mtapiga mawe? kama ilivyo kwa kwa kaburu?
  10. GODFREY GIITI

    Barua kwako dada Josephine Mushumbusi

    walioenda kwa babu ni wale waliokuwa na magonjwa sugu yasiotibika hospitali kama ukimwi na nk, napata hofu kuwa huyu mtu ni mzima kweli?
  11. GODFREY GIITI

    Katibu Mkuu wa CHADEMA anapolindwa na walinzi wa Kanisa!

    wewe ulisikiliza lakini aukuelewa kilichokuwa kinaongelewa, naomba nikusaidie ni kwamba Dr wilbord slaa alikuwa analindwa na walinzi ambao malipo ya walinzi yalikuwa yanalipwa na chama, maana yake nini chama kinaruhusu utafute mlinzi unaye muamini wewe chama kitalipa ghalama zinazohusiana na...
  12. GODFREY GIITI

    Ukweli kuhusu Dr. Slaa

    Ni kwamba kinachosumbu ni ubnafsi tu Dr ni mbinafsi, kilichomtoa kwenye upadri ilikuwa nini?. mbona amuhulizi? kimantiki Dr si mtiifu kwa aliejuu yake, mwenyekiti anamaamuzi, katibu ni mtekelezaji, kinachompa shida ni yeye kukosa nafasi ya kuwakirisha chama kama mgombea Uraisi Lowasa anauwezo...
  13. GODFREY GIITI

    Dr. Slaa anastahili kuheshimiwa

    Ni kwamba Dr Slaa kinachomtesa sio kukosa nafasi ya kugombea uraisi la hasha kinachomtesa ni mwanamke anaetaka kuwa firstlady mushumbusi hii inapunguza sifa kwa DR kuwa kiongozi kwa maana hana sauti kwa mwanamke sasa akiwa Raisi maana yake atatawala kwa maelekezo ya mwanamke, amwambie mke wake...
  14. GODFREY GIITI

    Hoja ya kumpokea Lowassa CHADEMA iwekwe kando

    wewe inawezekana kabisa ni mwana ccm lowasa hana uwezo wa kumshinda makufuli kwa uchaguzi mkuu sana sana umoja wa chadema atautingisha na kwenye jamii imani itakuja kuwa wote ni mafisadi nguvu kubwa iliofanywa na lissu itakuwa imekufa lowasa tangia amekaa bungeni hana nguvu ya kujenga hoja kwa...
  15. GODFREY GIITI

    Chondechonde Lowassa, Hatujakufukuza, usihame chama

    Big up si kwamba alionewa wanaotulletea shida ni wapambe wa lowasa , wakati nyerere anangatuka , alipenda mrithi wake awe Salim amedi Salimu lakini wajumbe wa nec waliteuwa majina mawili kutoka zanziba mwinyi na salimu wajumbe walimpa ushindi mwinyi pamoja na kuwa alikuwa chaguo la nyerere...
Back
Top Bottom