Chondechonde Lowassa, Hatujakufukuza, usihame chama

Chondechonde Lowassa, Hatujakufukuza, usihame chama

Kwanza napenda kukiri kwamba mchakato wa kumpata mtu wa kupeperusha bendera ya CCM kwa nafasi ya urais ilikiukwa waziwazi pale Dodoma.Tunajua Lowassa unamengi moyoni ya kuzungumza lkn uyazungumze hayo kupitia kwenye vikao vyetu kama katiba ya chama ilivyo.

Hatujakufukuza ktk chama tunaamini wewe unaijua vizuri sana CCM kuliko sisi,achana na uamuzi wa kuhama CCM kwani wewe bado nilulu ndani ya chama hiki na bado unavitajika sana kuliko wkt mwingine,ualuzi wa kuhama chama utaiathiri CCM kwa upande mmoja lkn nibaya zaidi utajivunjia heshima ndani ya jamii.

TUPO PAMOJA LOWASSA

Sawa Koffi Annan wa Tanzania
 
Baada ya kumkojolea ndiyo amekuwa lulu kwenu jiandaeni kukaa benchi mshuhudie wanaume wanavyo sakata gozi.
 
mtu ambaye kazidiwa na january bado unamwita lulu ? una utani naye ? suluhu pekee na lowasa ni kurudisha jina lake NEC , itisheni kikao cha dharula na magufuli aache kampeni mara moja .
 
Khaa!! Aende bana. Leo dr mbowe na dr slaa wakipendwa na Mungu cdm nayo inakufa wakati ndani ya ccm nusu ya wanachama ni majembe. Kuna tofauti kubwa kati ya genge la wahuni na chama cha siasa
 
Joka mmelilea mpaka limekakawana na sasa limegeuka nondo mla watu linawameza wazima wazima. Sasa makelele ya nini? Hangaikeni nalo!
 
Mwaka huu watanzania watafanya maamuzi muhimu kama waajiri wakuu wa nchi hii na kudhihirisha kuwa matakwa ya wananchi hayapaswi kudharauliwa hata kidogo.
 
Kwanza napenda kukiri kwamba mchakato wa kumpata mtu wa kupeperusha bendera ya CCM kwa nafasi ya urais ilikiukwa waziwazi pale Dodoma.Tunajua Lowassa unamengi moyoni ya kuzungumza lkn uyazungumze hayo kupitia kwenye vikao vyetu kama katiba ya chama ilivyo.

Hatujakufukuza ktk chama tunaamini wewe unaijua vizuri sana CCM kuliko sisi,achana na uamuzi wa kuhama CCM kwani wewe bado nilulu ndani ya chama hiki na bado unavitajika sana kuliko wkt mwingine,ualuzi wa kuhama chama utaiathiri CCM kwa upande mmoja lkn nibaya zaidi utajivunjia heshima ndani ya jamii.

TUPO PAMOJA LOWASSA

unaonekana una hofu sana mkuu!!
 
Tulia utibiwe muacheni lowasa amesha rudi kundini ccm lzm muumie mwaka huu
 
Hebu nitajie vigezo ambavyo vinaonyesha kuwa Lowasa alionewa pale Dodoma. Nitajie vipengele viwili tu kwa nini unadhani alionewa? Na kwa nini yeye na asiwe mwingine? Kwenye ushindani ni lazima ujue kuna kushinda na kushindwa ndugu. Hao wengine waliokatwa hawakuonewa, kwa nini yeye tu?
 
Kwanza napenda kukiri kwamba mchakato wa kumpata mtu wa kupeperusha bendera ya CCM kwa nafasi ya urais ilikiukwa waziwazi pale Dodoma.Tunajua Lowassa unamengi moyoni ya kuzungumza lkn uyazungumze hayo kupitia kwenye vikao vyetu kama katiba ya chama ilivyo.

Hatujakufukuza ktk chama tunaamini wewe unaijua vizuri sana CCM kuliko sisi,achana na uamuzi wa kuhama CCM kwani wewe bado nilulu ndani ya chama hiki na bado unavitajika sana kuliko wkt mwingine,ualuzi wa kuhama chama utaiathiri CCM kwa upande mmoja lkn nibaya zaidi utajivunjia heshima ndani ya jamii.

TUPO PAMOJA LOWASSA
Sioni cha kumzuia kuondoka au kutokuondoka lakini kabla ya mchakato wa kumkata aujafika alipewa habari ya kukatwa na yeye aliita wandishi wa habari na kusema hata jina lake likikatwa hata hama chama, sasa ililinalokuja linatoka wapi? au wapambe ndio wanatoa habari hizi? KWA UJUMLA lowasa afai kuwa Raisi na ata akija chadema atapigwa chini tu. anauwezo wa kumshinda Mkufuli. kwanza amekaa serikalini miaka mingi kuliko makufuli alichokifanya kikowapi? zaidi ya makufuli amepew uwaziri mkuu kwa kupendelewa alichokifanya kila mtu anajua, mimi ni mwanachama wa chadema tangia mwaka 1994, chadema na iasa ipokee lakini asiwekwe kugombea Uraisi kwa mwaka huu mpaka kipindi kingine Lakini wakimueka Taswila ya chadema itakuwa mbaya sana kwa umma
 
Big up si kwamba alionewa wanaotulletea shida ni wapambe wa lowasa , wakati nyerere anangatuka , alipenda mrithi wake awe Salim amedi Salimu lakini wajumbe wa nec waliteuwa majina mawili kutoka zanziba mwinyi na salimu wajumbe walimpa ushindi mwinyi pamoja na kuwa alikuwa chaguo la nyerere, mwinyi alipenda mrithi wake awe kikwete lakini mambo ayakwenda hivyo, kwa historia ya ccm uchaguzi wake aijatokea kugombea watu wengi kama mwaka huu, na sababu ya kugombea watu wengi mwaka huu ni kwasababu ya Lowasa kuingia kwenye mchuano huo, na ccm ili iwe imala ni hivi walivyofanya, kwa utabili wangu makufuli hana mpinzani mpaka sasa hivi, upinzani utaongeza wabunge na wasipokuwa makini wabunge mia moja wanawezakushindwa kupata
 
Kwanza napenda kukiri kwamba mchakato wa kumpata mtu wa kupeperusha bendera ya CCM kwa nafasi ya urais ilikiukwa waziwazi pale Dodoma.Tunajua Lowassa unamengi moyoni ya kuzungumza lkn uyazungumze hayo kupitia kwenye vikao vyetu kama katiba ya chama ilivyo.

Hatujakufukuza ktk chama tunaamini wewe unaijua vizuri sana CCM kuliko sisi,achana na uamuzi wa kuhama CCM kwani wewe bado nilulu ndani ya chama hiki na bado unavitajika sana kuliko wkt mwingine,ualuzi wa kuhama chama utaiathiri CCM kwa upande mmoja lkn nibaya zaidi utajivunjia heshima ndani ya jamii.

TUPO PAMOJA LOWASSA
Sio Siri kwa sasa mtu pekee anayeweza kumshawishi Lowasa asihame chama ni Magufuli. Vinginevyo Mtaji wa wapiga kura wa Lowasa kamwe hatozipata
 
Back
Top Bottom