Wakati unajiuliza ni wangapi hawana pa kutolea dukuduku lao kuhusu UKAWA jiulize pia ni wangapi hawana pa kutolea dukuduku lao kuhusu uchakavhuaji wa maoni ya tume ya Warioba yaliofanywa na CCM
Mahakama ya kikatiba nchini Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada.
Kadhalika sheria hiyo ilizua gumzo sana sio tu Uganda bali kote duniani ambapo mataifa ya Magharibi yalilazimika kuingilia kati.
Mahakama ilisema...
Habari wana jf nadhani hii sio habar mpya kwenu kwamba aliye kuwa kocha wa timu ya taifa Macio Maximo kuwa sasa ni kocha wa Yanga
Kilicho nifanya niandike huu uzi ni kutaka kujua kwanii Bongo movie wameshangilia sana hii taarifa kuliko wana yanga wenyewe??
Jaman mbona ni kitu cha kawaida sana kilicho fanyika happ ni ni bomba lenye asili ya kioo limeingia kweny hilo bombala koki so uwez kuliona na lina rusha maji so maji yanaonekana kama yanatoka kwenye bomba la koki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.