Wapendwa habari za leo. Naombeni kujua nauli ya kutika Arusha hadi Uganda Kampala.
Nataka nisafiri kwa bus nina shughuli binafsi naenda kufanya kule.
Naomba pia nipate ufafanuzi wa sehemu ya kulala yaani Lodge ambaho sio ghali sana. Iwe tu ya gharama za kawaida kulala
Wakuu poleni kwa majukumu ya maisha. Naombeni msaada wenu Wa kitabibu...
Kuna mtu nimemueleza matatizo ya maumivu niliyo nayo mwilini ndo akaniagiza nikatafute mafuta ya black seeds oil kwamba takuwa tiba ya maumivu niliyo nayo
Kifupi ni kwamba nasikia maumivu kwenye tumbo la chini ya...
Wazungu wanakunywa kahawa strong sana na hawaweki sukari lakini hawana presha , wala ugonjwa wowote ule. Kunyweni kahawa acheni kudanganywa tena inatibu kibofu cha mkojo kwa wale wenye matatizo hayo.
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.