Pole sana anza kujifunza sio kukaa JF unapiga umbea.Brunei ni kataifa kadogo na sultan wake ni miongoni mwa mabilionea na mdogo wake Prince Jefri ni mpenda anasa mkubwa.KUna mji unaitwa Darusalaam.Hata bongo fleva usikikilizi?
Mkuu,
JF ya sasa haina mashiko hoja ni CCM na CDM na udini.Mimi siku hizi kusema ukweli JF sio source yangu ya news kama zamani na huwa naweza kumaliza hata miezi miwili sijaingia JF.Hamna jipya.I really miss Jambo forum
RIP Jibaba namkumbuka sana mshikaji si alikuwa UK? kifo chake kilisikitisha sana.
Aahaha Sweet,Mizz nawakumbuka
FGRT yuko wapi huyu bingwa? acha kabisa enzi zile ilikuwa raha sana ukiingia kwenye chat unatoka na chakula cha ubongo.
MKuu umenikumbusha mbali sana DJ Sure alikuwa anatupa burudani...
Ni mchungaji sijui wa kanisa gani.
Mchungaji Nteze John Lungu aliyekuwa mchezaji wa timu ya Pamba ya Mwanza na Simba Sports Club ya Dar es Salaam akiongoza ibada maalum ya Kumbukumbu ya marehemu Flora Komba Glimsdale iliyofanyika Jumamosi Jan 4, 2014 mjini Seattle, Washington State
NEXT ▶
Ashley McMillan, 22, immerses herself in the water during the New Year's Day Polar Bear Plunge at North Avenue Beach - John J. Kim, Chicago Tribune, Jan. 1, 2014
NEXT ▶
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.