Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 18,549
- 21,676
Kila la kheri Dar Young African
Mungu wasaidie waarabu washinde.
Mkuu acha kabisa, penati huwa hazina utabiri
Mkuu acha kabisa, penati huwa hazina utabiri
Ee Mungu ondoa aibu kwa Taifa hili....Maana Yanga wakiingia 16 bora tutapa aibu kubwa sana....
Al-Ahaly piga hao Yanga utuondolee aibu...Waishie hapo hapo Misri..
Please link mkuuPenalt ya kwanza yanga wanapata
Haya tutajieni lineup ya wapiga penati.
Hazina utaalamu hizoDaah penati mi sipendi jamani!
Penalt ya pili yanga wanapata
Haya baneni nahii zenu....