CAF Champions League

CAF Champions League

Sasa naelewa kwa nini huwa wanasema magoli meng uwanja wa nyumbani ni nusu ushindi....

Tungewalaza Taifa hawa magoli mawili tuuuu....sasa hivi ingekuwa ni nderemo
 
6633286.jpg

hahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahahaha! Ni hujuma! Ni hujumaa!!
 
Kama kawa kama dawa,leo lazima waarabu wakae,na hiki hapa ndicho kikosi kitakachoanza kuwaua waarabu leo,Niyonzima ni mgonjwa nadhani ata kwenye bench hatakuwepo.

Updates:HT-Al Ahly0-0Young Africans.
Updates😀k 73-Al Ahly1-0Yanga


Line up:Yanga.
1.Deo Munishi
2.Twite Mbuyu
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub
5.Kelvin Yondani
6.Frank Domayo
7.Saimon Msuva
8.Mrisho Ngasa
9.Didier Kavumbagu
10.Emmanuel Okwi
11.Hamisi Kiiza

Tetesi:Yanga wakiitoa Ahly watapewa 400m kama zawadi.

Matuta!
 
Back
Top Bottom