Kuna msemo maarifu."Mchungaji Akitaka gari au usafiri waumini tunachanga, ila muumini akitaka gari anaombwewa na mchungaji kwa kuwekewa mkono kichwani."
Elewa kuchanga na kuombewa.
Natumaini muwazima wote. Kwa wale ambao wanachangamoto za kiafya, kiuchumi na nk. Mungu afanye njia kila Mtu awe kwenye hali anaipenda. Twende kwenye mada yeti.
Leo nimekumbuka baadhi ya adha nilizopitia hasa kwenye presentation hii ni kutokana kufuatilia taarifa au hotuba za kiranja mkuu wa...
Kuna mtu na mdai Toka 2025 mwezi wa pili. Ila hapokei simu tena, nimtumishi wa serikali, nitaratibu gani zinahitajika kupeleka taarifa zake uko.
Nb.Namjua ni mpenda mikopo sana hasa nmb bank.
Hata Brazil aliwahi kufungwa magoli ya kutosha, ilikuwa nusu fainali. Mechi kati Germany vs Brazil 14 July 2014 mpaka dakika tisini matokeo Germany 7 Brazil 1.
Hii pia ilitakiwa kuwa kwenye record maana timu kubwa kufungwa magoli ya kutosha tena kwenye nusu fainali ndani ya dakika 90
Ili uweze kuwa broker kunataratibu za kufuata kama ifuatavyo;
1.Masharti ya Kisheria na Kifedha kwa Kampuni
Biashara ya udalali wa hisa haifanywi na mtu binafsi moja kwa moja, bali kupitia kampuni iliyosajiliwa. Masharti makuu ni pamoja na:
Aina ya Kampuni: Lazima iwe imesajiliwa kama kampuni...
Mashindano ya Muungano lengo lake nini?
SAbabu kuu ni kuwatafutia vijana wa Zanzibar nafasi za kucheza ligi kuu bara, na political popularity kwa viongozi wa Zanzibar japo Kodi zetu zinatumika pia.
Waziri?
Unangea vitu ambavyo uhakuka haupo. Binafisi kuna vitu kadhaa wizara inataka kuwahadaa watanzania;
1. Kujisafisha. Uwanja haupo kwenye kiwango cha kuhumili mechi kubwa toka muda mrefu sasa.
2. Kuchelewa kwa matengezo. Muda sasa Watanzania tunaambiwa uwanja upo kwenye matengezo.
3...
Serikali inatafuta pakujificha.
1.CDM walishapigiwa marufuki kujihusisha nashughuli za siasa.
2. Ndani ya SISIEM kunampasuko lakini hawataki kutafuta suluhisho Pia mpaka sasa hawajui adui yao ni nani.
Hivi huoni fedha za umma zinatumiwa vibaya. Hilo goli sijuli la asbhi au usiku huoni ni uharinifu wa fedha za umma kwa manufaa binafisi yaani kutafuta umarufu wa kisiasa mkuu?
Nguvu na kipigo anachopiwa utahisi labda anasilaha au alitakakujitoa mchanga.
Kumbe hata kitambaa tu cha kufutia jasho hana.
Mungu hawaachi wale wanaomlilia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.