Recent content by Gmarra

  1. G

    JamiiForums Tanzania Ni mchallange vipi huyu mtoto maana akili yake imevuka mipaka ya elimu na hataki shule

    Watato wenye IQ kubwa mara nyingi Huwa ni watulivu, siowasemaji sana. Huwa na huruma, hupenda kuelekeza wenzake, Huwa ni mdadisi nk. Jitahidi kulea mtoto wako, usihisi kama ni usumbufu pia mtoto wa miaka mitano Bado sana. jaribu kuuliza akiwa mkubwa anapenda kuwa nani, uliza hili swali ndani...
  2. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania, Tundu Lissu akitoka gerezani mko tayari kuridhiana?

    FreeTundu LISSU. Kabla ya yote. Tutafute mlaamu wa lugha. Afundishe maana ya maneno ya fuatayo: 1. Uhaini 2. Ugaidi.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Watawala hawana mpango na Elimu bora wananchi amkeni

    Mkuu umeandika yalioko kwenye fikra zangu. 100% nakuunga mkono. Mfano kwenye mtaala mpya waliacha walimu wa uchimi wakaajiri watu wa accountancy ambao hawajui chochote kuhusu teaching methodology eti wakafundishe business study. Binafasi nachukia sana kiongozi anapoingiza mambo ya msingi kuwa...
  4. G

    JamiiForums Tanzania CHADEMA walikosea kukubali kuichoma nchi wanayotaka kuiongoza

    Mkuu unakumbuka kabla ya 29/10/2025. CDM walikuwawamefungiwa kujishulisha na mambo ya siasa kwa muda mrefu yaani miezi kadhaa nyuma. Umeimba chadema chadema.... ila nahsi hauna kumbukumbu za kutosha otherwise ni uchwawa tu.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Hivi maisha bila kuvaa nguo ingekuwaje?

    Fikiria ingekuaje kama kulala ingekuwa mchana, Na usiku watu wanaamuka bila shaka kungekuwa na faida nyingi pia.
  6. G

    JamiiForums Tanzania BBC Africa imeachia Documentary mpya kuhusu Tundu Lissu. Mke wake Lissu Alicia nae yumo

    Mkuu mpaka sasa. Hakuna kifungu cha sheria kwenye kauli 'NITAVURUGA UCHAGUZI NA KUHAMASISHA UHASI'kuwa ni uhaini,Ndio maana unaona kesi haina kichwa Wala miguu. Nikuambie tu kungekuwa na sheria ilionyooka kwenye kauli hizo za LISSU kesi ingeendelea ila baada ya kuona wameangukia pua jamhuri...
  7. G

    JamiiForums Tanzania John Mnyika: Siyo kweli kwamba Mwigulu na Serikali hawana Mgogoro na Sisi, ndiyo maana wamezuia ruzuku ya mil. 500

    Wwe unajua? au unaandika tu. Fr Kitima mnyaturu. Na Lissu mnyaturu huo unyiramba umeutoa wapi? au wamebadilisha kabila hivi karibuni
  8. G

    JamiiForums Tanzania RESOLVED HOJA Nashauri iundwe 'Yanga Law'; timu itakayokaidi kutumia 'Vyumba rasmi vya kubadilishia Nguo' ipokwe alama tatu na kutozwa faini ya Tsh. Milioni 50

    Kwenye ligi, Adhabu ya kupokwa point tatu ni kubwa kuliko hayo mamilion. Ikitumika hiyo hakuna timu itakaidi makusudi kutumia nyumba nje ya uwanja au milango isio rasimi.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu Tumechoka na michango ya Mwenge

    Sio nyie tu mkuu. walimu hasa wa shule za msingi za serikali wanachanga kwa lazima, kwa kuambiwa serikali imewapa dhanama hivyo ni lazima wachangie
  10. G

    JamiiForums Tanzania Kama tumeamua kuwa na Yesu kweli, basi tuachane na dawa za hospitali na isiwe mitishamba tu

    Kuna msemo maarifu."Mchungaji Akitaka gari au usafiri waumini tunachanga, ila muumini akitaka gari anaombwewa na mchungaji kwa kuwekewa mkono kichwani." Elewa kuchanga na kuombewa.
  11. G

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu: Je, unakumbuka nini ulivyokuwa unasoma hasa kwenye presentation, Imepekelea baadhi ya hotuba za viongozi kuwa na sintofahamu

    Natumaini muwazima wote. Kwa wale ambao wanachangamoto za kiafya, kiuchumi na nk. Mungu afanye njia kila Mtu awe kwenye hali anaipenda. Twende kwenye mada yeti. Leo nimekumbuka baadhi ya adha nilizopitia hasa kwenye presentation hii ni kutokana kufuatilia taarifa au hotuba za kiranja mkuu wa...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Je, unafahamu Credit Report yako? Taarifa yako ya UKOPAJI?

    Kuna mtu na mdai Toka 2025 mwezi wa pili. Ila hapokei simu tena, nimtumishi wa serikali, nitaratibu gani zinahitajika kupeleka taarifa zake uko. Nb.Namjua ni mpenda mikopo sana hasa nmb bank.
  13. G

    JamiiForums Tanzania Rekodi za Kombe la Dunia zinaonekana kuwa ngumu sana kuvunjwa zama hizi

    Hata Brazil aliwahi kufungwa magoli ya kutosha, ilikuwa nusu fainali. Mechi kati Germany vs Brazil 14 July 2014 mpaka dakika tisini matokeo Germany 7 Brazil 1. Hii pia ilitakiwa kuwa kwenye record maana timu kubwa kufungwa magoli ya kutosha tena kwenye nusu fainali ndani ya dakika 90
  14. G

    JamiiForums Tanzania Hisia za mapenzi zimepotea

    Shida Iko hapa, 1. Hauna Hela. 2. Hauna ajira.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Ili uweze kuwa broker kunataratibu za kufuata kama ifuatavyo; 1.Masharti ya Kisheria na Kifedha kwa Kampuni Biashara ya udalali wa hisa haifanywi na mtu binafsi moja kwa moja, bali kupitia kampuni iliyosajiliwa. Masharti makuu ni pamoja na: Aina ya Kampuni: Lazima iwe imesajiliwa kama kampuni...
Back
Top Bottom