Waziri?
Unangea vitu ambavyo uhakuka haupo. Binafisi kuna vitu kadhaa wizara inataka kuwahadaa watanzania;
1. Kujisafisha. Uwanja haupo kwenye kiwango cha kuhumili mechi kubwa toka muda mrefu sasa.
2. Kuchelewa kwa matengezo. Muda sasa Watanzania tunaambiwa uwanja upo kwenye matengezo.
3...
Serikali inatafuta pakujificha.
1.CDM walishapigiwa marufuki kujihusisha nashughuli za siasa.
2. Ndani ya SISIEM kunampasuko lakini hawataki kutafuta suluhisho Pia mpaka sasa hawajui adui yao ni nani.
Hivi huoni fedha za umma zinatumiwa vibaya. Hilo goli sijuli la asbhi au usiku huoni ni uharinifu wa fedha za umma kwa manufaa binafisi yaani kutafuta umarufu wa kisiasa mkuu?
Nguvu na kipigo anachopiwa utahisi labda anasilaha au alitakakujitoa mchanga.
Kumbe hata kitambaa tu cha kufutia jasho hana.
Mungu hawaachi wale wanaomlilia.
Wakuu. Natumaini mambo yataenda vizuri kwa wote mliofanya usaili tareh 22 July 2025. Naombeni mnijulishe maswali mliokutana nayo siku ya usaili. Nami nijipange siku si nyingi nitakuwa mzigoni.
Mkuu. Soccer ni mchezo miongoni mwamichezo michache, Duniani ambapo matokeo yake huwa hayafutwi ila waliohusika hupewa adhabu na matokeo hubaki kama yalivyotokea uwanjani.
Hivyo hata PCCB wakifanya uchunguzi na hayo matokeo yakawa kama unavyosema. Hakuna kitakachobadilka mkuu. Labda tu waamuzi...
Msaada kwa anayejua namna ya kubadilisha taarifa kwenya account ya ajira portal.
Mfano, Nilijiandikisha programu category ya Bachelor of arts (BED) education yaani somo moja. Badala ya Bachelor of arts with education (BAED) yaani masomo mawili kimakosa.
Nawezaje kubadilisha taarifa maana...
Maisha hubadilka;
1.Maskini kuwa tajiri.
2.Mlevi kuacha pombe
3.Tajiri kuwa mashikini au kufilisika
4.Muislamu kuwa mkisto na kinyume chake.
5.Asiye mwamini Mungu kuwa muumini mzuri.
6.Majambazi na vibaka kuacha tabia ya wizi.
7.Mwanasiasa kuhama chama. CCM to CDM
8.Dada poa kuwa mke wa mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.