Recent content by Gmarra

  1. G

    Makonda: Kuna timu ilichimba nyasi uwanja wa Mkapa, ikaweka Dawa na kusababisha fangasi kisa ushirikina

    Waziri? Unangea vitu ambavyo uhakuka haupo. Binafisi kuna vitu kadhaa wizara inataka kuwahadaa watanzania; 1. Kujisafisha. Uwanja haupo kwenye kiwango cha kuhumili mechi kubwa toka muda mrefu sasa. 2. Kuchelewa kwa matengezo. Muda sasa Watanzania tunaambiwa uwanja upo kwenye matengezo. 3...
  2. G

    PostGE2025 Boniface Jacob 'Boni Yai' akamatwa na Jeshi la polisi akiwa Goba DSM

    Serikali inatafuta pakujificha. 1.CDM walishapigiwa marufuki kujihusisha nashughuli za siasa. 2. Ndani ya SISIEM kunampasuko lakini hawataki kutafuta suluhisho Pia mpaka sasa hawajui adui yao ni nani.
  3. G

    GE2025 Mwenye taarifa ni wapi leo mgombea urais CCM anafanya kampeni zake mbona kimya?

    Jana jion ulipita msafara hapa mpakani mwa Manyara na Singida kuelekea Singida labda kamaliza kampeni Manyara. Anaenda mkoa mwingine
  4. G

    Yanga inaenda kuwa moja ya Teams kubwa Afrika. Simba mlikosea sana kumdindishia Rais

    Hivi huoni fedha za umma zinatumiwa vibaya. Hilo goli sijuli la asbhi au usiku huoni ni uharinifu wa fedha za umma kwa manufaa binafisi yaani kutafuta umarufu wa kisiasa mkuu?
  5. G

    GE2025 Video: Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia mwananchi aliyefika mahakama kuu kufuatilia kesi ya Lissu

    Nguvu na kipigo anachopiwa utahisi labda anasilaha au alitakakujitoa mchanga. Kumbe hata kitambaa tu cha kufutia jasho hana. Mungu hawaachi wale wanaomlilia.
  6. G

    Waziri wa Ardhi awakabidhi Yanga hati yao ya kujenga uwanja

    Ndio, walishanunua huo uwanja. Wakaboresha zaidi kuchangia chama tawala mil 100. Kwa hivyo ni lazima mambo yaende sawa.
  7. G

    Cape Verde kisiwa chenye watu wapatao 600,000 kufuzu kwenda kucheza kombe la Dunia ikishinda mechi moja ijayo

    --- Cape Verde ni taifa lililoko Africa magharibi, katika bahari ya Atlantic. --- Na sio East Africa katika bahari ya hindi kama ulivyoandika.
  8. G

    Taifa Stars tumepewa jaribu kubwa sana; Morocco ni Timu yenye matumizi makubwa ya akili

    Ukweli Tanzania, Tumejitahidi kufika hapo tulipofika. Ila tulipitia njia rahisi sana.
  9. G

    GE2025 Wafatao ni Wabunge ambao kesho kutwa wanaaga rasmi ubunge

    Mussa - Singida mjini Mtaturu- ikungi mashariki
  10. G

    Oral nterview ya Uhasibu Sekretarieti ya Ajira

    Wakuu. Natumaini mambo yataenda vizuri kwa wote mliofanya usaili tareh 22 July 2025. Naombeni mnijulishe maswali mliokutana nayo siku ya usaili. Nami nijipange siku si nyingi nitakuwa mzigoni.
  11. G

    Padri Kitima: Ali Kibao amekamatwa kwenye halaiki mchana, wanasema tunyamaze? Uovu lazima tuukemee!

    Udini unakutesa mkuu. Pia sio Kila anaetoka Singida ni Mnyiramba mkuu.
  12. G

    Mbunge Ahoji kuhusu wahitimu kufanya mitihani kupata ajira

    Tena engineer anafanya interview kada ya ualimu, maajabu kweli Tanganyika yetu.
  13. G

    TFF,bodi ya ligi na TAKUKURU kesho kuweni makini na upangaji matokeo uwanja wa jamhuri Dodoma

    Mkuu. Soccer ni mchezo miongoni mwamichezo michache, Duniani ambapo matokeo yake huwa hayafutwi ila waliohusika hupewa adhabu na matokeo hubaki kama yalivyotokea uwanjani. Hivyo hata PCCB wakifanya uchunguzi na hayo matokeo yakawa kama unavyosema. Hakuna kitakachobadilka mkuu. Labda tu waamuzi...
  14. G

    KERO Msaada, napata changamoto kubadilisha taarifa ajira portal

    Msaada kwa anayejua namna ya kubadilisha taarifa kwenya account ya ajira portal. Mfano, Nilijiandikisha programu category ya Bachelor of arts (BED) education yaani somo moja. Badala ya Bachelor of arts with education (BAED) yaani masomo mawili kimakosa. Nawezaje kubadilisha taarifa maana...
  15. G

    Vituko vya Wakubwa Tz. Kuna Wabunge pia waliwahi kuwa Madada Poa

    Maisha hubadilka; 1.Maskini kuwa tajiri. 2.Mlevi kuacha pombe 3.Tajiri kuwa mashikini au kufilisika 4.Muislamu kuwa mkisto na kinyume chake. 5.Asiye mwamini Mungu kuwa muumini mzuri. 6.Majambazi na vibaka kuacha tabia ya wizi. 7.Mwanasiasa kuhama chama. CCM to CDM 8.Dada poa kuwa mke wa mtu...
Back
Top Bottom