Recent content by Gmarra

  1. G

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu Tumechoka na michango ya Mwenge

    Sio nyie tu mkuu. walimu hasa wa shule za msingi za serikali wanachanga kwa lazima, kwa kuambiwa serikali imewapa dhanama hivyo ni lazima wachangie
  2. G

    JamiiForums Tanzania Kama tumeamua kuwa na Yesu kweli, basi tuachane na dawa za hospitali na isiwe mitishamba tu

    Kuna msemo maarifu."Mchungaji Akitaka gari au usafiri waumini tunachanga, ila muumini akitaka gari anaombwewa na mchungaji kwa kuwekewa mkono kichwani." Elewa kuchanga na kuombewa.
  3. G

    JamiiForums Tanzania Kumbukumbu: Je, unakumbuka nini ulivyokuwa unasoma hasa kwenye presentation, Imepekelea baadhi ya hotuba za viongozi kuwa na sintofahamu

    Natumaini muwazima wote. Kwa wale ambao wanachangamoto za kiafya, kiuchumi na nk. Mungu afanye njia kila Mtu awe kwenye hali anaipenda. Twende kwenye mada yeti. Leo nimekumbuka baadhi ya adha nilizopitia hasa kwenye presentation hii ni kutokana kufuatilia taarifa au hotuba za kiranja mkuu wa...
  4. G

    JamiiForums Tanzania Je, unafahamu Credit Report yako? Taarifa yako ya UKOPAJI?

    Kuna mtu na mdai Toka 2025 mwezi wa pili. Ila hapokei simu tena, nimtumishi wa serikali, nitaratibu gani zinahitajika kupeleka taarifa zake uko. Nb.Namjua ni mpenda mikopo sana hasa nmb bank.
  5. G

    JamiiForums Tanzania Rekodi za Kombe la Dunia zinaonekana kuwa ngumu sana kuvunjwa zama hizi

    Hata Brazil aliwahi kufungwa magoli ya kutosha, ilikuwa nusu fainali. Mechi kati Germany vs Brazil 14 July 2014 mpaka dakika tisini matokeo Germany 7 Brazil 1. Hii pia ilitakiwa kuwa kwenye record maana timu kubwa kufungwa magoli ya kutosha tena kwenye nusu fainali ndani ya dakika 90
  6. G

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hisia za mapenzi zimepotea

    Shida Iko hapa, 1. Hauna Hela. 2. Hauna ajira.
  7. G

    JamiiForums Tanzania Tuambizane: Madalali (stock brokers) wa Soko la Hisa Dar (DSE) ambao wanafaa na wasiofaa

    Ili uweze kuwa broker kunataratibu za kufuata kama ifuatavyo; 1.Masharti ya Kisheria na Kifedha kwa Kampuni Biashara ya udalali wa hisa haifanywi na mtu binafsi moja kwa moja, bali kupitia kampuni iliyosajiliwa. Masharti makuu ni pamoja na: Aina ya Kampuni: Lazima iwe imesajiliwa kama kampuni...
  8. G

    JamiiForums Tanzania Mashindano ya Muungano lengo lake nini?

    Mashindano ya Muungano lengo lake nini? SAbabu kuu ni kuwatafutia vijana wa Zanzibar nafasi za kucheza ligi kuu bara, na political popularity kwa viongozi wa Zanzibar japo Kodi zetu zinatumika pia.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Kwahiyo Lissu atatolewa kwasababu ya mapendekezo ya Tume yatakayosomwa kesho?

    Mkuu. Mahakani walikosa tafasiri ya huo msamiati ili ionekane nikosa tena uhaini! Wewe unajua maana ya kukinukisha?
  10. G

    JamiiForums Tanzania Makonda: Kuna timu ilichimba nyasi uwanja wa Mkapa, ikaweka Dawa na kusababisha fangasi kisa ushirikina

    Waziri? Unangea vitu ambavyo uhakuka haupo. Binafisi kuna vitu kadhaa wizara inataka kuwahadaa watanzania; 1. Kujisafisha. Uwanja haupo kwenye kiwango cha kuhumili mechi kubwa toka muda mrefu sasa. 2. Kuchelewa kwa matengezo. Muda sasa Watanzania tunaambiwa uwanja upo kwenye matengezo. 3...
  11. G

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Boniface Jacob 'Boni Yai' akamatwa na Jeshi la polisi akiwa Goba DSM

    Serikali inatafuta pakujificha. 1.CDM walishapigiwa marufuki kujihusisha nashughuli za siasa. 2. Ndani ya SISIEM kunampasuko lakini hawataki kutafuta suluhisho Pia mpaka sasa hawajui adui yao ni nani.
  12. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwenye taarifa ni wapi leo mgombea urais CCM anafanya kampeni zake mbona kimya?

    Jana jion ulipita msafara hapa mpakani mwa Manyara na Singida kuelekea Singida labda kamaliza kampeni Manyara. Anaenda mkoa mwingine
  13. G

    JamiiForums Tanzania Yanga inaenda kuwa moja ya Teams kubwa Afrika. Simba mlikosea sana kumdindishia Rais

    Hivi huoni fedha za umma zinatumiwa vibaya. Hilo goli sijuli la asbhi au usiku huoni ni uharinifu wa fedha za umma kwa manufaa binafisi yaani kutafuta umarufu wa kisiasa mkuu?
  14. G

    JamiiForums Tanzania GE2025 Video: Polisi zaidi ya 10 wakimshambulia mwananchi aliyefika mahakama kuu kufuatilia kesi ya Lissu

    Nguvu na kipigo anachopiwa utahisi labda anasilaha au alitakakujitoa mchanga. Kumbe hata kitambaa tu cha kufutia jasho hana. Mungu hawaachi wale wanaomlilia.
  15. G

    JamiiForums Tanzania Waziri wa Ardhi awakabidhi Yanga hati yao ya kujenga uwanja

    Ndio, walishanunua huo uwanja. Wakaboresha zaidi kuchangia chama tawala mil 100. Kwa hivyo ni lazima mambo yaende sawa.
Back
Top Bottom