Biashara ya betting imekuwa kwa kasi sana miaka ya hivi karibuni. Napenda kuuliza kwa anayejua inaingiza shs ngapi kwa mwezi. Na kawaida mtaji wake ni bei gani?
Kwa miaka mingi tumeshuhudia wazee wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki iliyovunjika mwishoni wa miaka ya 1970 wamekuwa wakilalamikia kutokulipwa mafao yao ya kustaafu. Sasa ni takribani miaka 40 toka jumuiya hiyo ivunjike. Wazee hawa wameendelea kulalamikia serikali za awamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.