Recent content by Giver2020

  1. Giver2020

    Hivi tatizo la 'kunatana' wakati wa kufanya mapenzi linasababishwa na nini?

    NI UTAALAM NDO UNAOTUMIKA MKUU!! WELLCOME AT SUMBAWANGA FOR MORE COURSE
  2. Giver2020

    Msaada: Siridhiki kufanya mapenzi

    Mkuu! Kuwa na mpenzi mmoja inawezekana na kujicontrol pia inawezekana lkn kwakua umeweka neno hili la haiwezekani ktk akili yako ndo maana haiwezekani hata tukikuombea au kukupigia dua haitawezekana CHAMSINGI weka neno inawezekana kwanza ktk akili yako
  3. Giver2020

    Imeniuma sana, mpenzi wangu hanipi hata senti wakati mimi namsaidia sana

    Mapenzi haya endi hivo mkuu! Hususani kwa mtu mwenye malengo na ww sizani kama anaweza kukufanyia hivo, hivo ni viishara tu kuwa wewe atakutumia tu na sio akuchukulie kama wife CHAMSINGI ACHANA NAE kama kweli alikua anania ya kukufanya mke, utaona juhudi zake kuludisha penzi lako.
  4. Giver2020

    Riwaya: Mke wa Rais

    Mkuu uko vzr! Endelea kushusha madude
  5. Giver2020

    Video Ya Wimbo Taifa

    Wimbo wa taifa saizi ni kuisoma namba
  6. Giver2020

    Je, huyu ananipenda?

    Hilo nalo neno, sio kila kiungo ukikishika kinaweza kumfanya awe na hisia sasa lazima ujue viungo nyeti vinavyo ibua hisia, mbal na Hilo upendo hujulikana kutokana na jinsi m2 unavyo kuchukulia. Nikimanisha rafiki au mpenzi hilo lazima uzingatie
  7. Giver2020

    Calisah ashikiliwa na polisi kwa kuvujisha picha za utupu za Wema Sepetu

    Kwann nay Aliku anajipiga self za utupu? Au Aliku anataka kuweka kumbukumbu na kama ndo hivo aje kuwaonyesha wakina nan? Aaache mambo ya kishamba wema
  8. Giver2020

    Msaada kimawazo

    Kwa tatizo lako hilo mm kwa upande wangu naweza xema hivi: kila m2 hupenda kufanya bidii ili mladi2 atimize ndoto zake za kimaisha lkn kutimiza ndoto hizo mambo mawili yaweza tokea; eidha kufanikiwa ktk mda mwafaka au kuchelewa kidogo sasa kwako ww lengo lako limechelewa kidogo lkn amin 2 kwamba...
  9. Giver2020

    CAS will be opened for applicants with diploma qualifications on 8th August 2016. Thank you

    Yaani kweli kazi ipo! Kwa hali hii sijui kitakacho tokea lakini never give up.
  10. Giver2020

    TCU vipi Diploma Guidebook?

    Nikweli mkuu nimeachana nae.
  11. Giver2020

    TCU vipi Diploma Guidebook?

    Naona dada angu uwelewa mdogo! Nisawa na kuona wenzako wakiumia alafu wewe ukawa unashabikia kwa unafiki! Sasa ili kukufurahisha tukwambie upo sahihi ukisemacho wewe lkn ungekuwa unabusara na hekima ungejua namna ya kumsaidia mwenzako kimawazo kuhusiana na tatizo alilo nalo sidhani kama jamaa...
  12. Giver2020

    TCU vipi Diploma Guidebook?

    Mimi sipo kwenye GPA uizungumziayo laiti ungejua usinge sema hivo my dear!
  13. Giver2020

    TCU vipi Diploma Guidebook?

    Acha dhalau dada angu! Unamanisha jamaa hakusoma kwa bidii? Si ndo hivo
Back
Top Bottom