Msaada: Siridhiki kufanya mapenzi

Msaada: Siridhiki kufanya mapenzi

Huenda utakua na shida ya wingi wa testesterone au vichocheo vinavyohusiana na activeness ya viungo vya kujamiiaana pamoja na emotions. Nadhani uende tu hosp utapata msaada. Ikishindikana join huduma ya maombezi ufanyiwe maombi
Maombezi yanapunguza vichocheo? duh....
 
Hauna tatizo lolote, sema hauna shughuli ya kufanya na unajiendekeza sana. Take control of your body son.
Naunga mkono hoja....na tatizo lako litaisha pale serikali itakapotoa ajira kwa nyie graduated munaokaa kwa wazazi na kaka/shemeji zenu.

dudu litaachaje kukusumbua wakati unakula Milo mi3 kwa siku na kazi ya kufanya ni kuangalia tv na kuchat jf fb wassup na insta.

Subiri upate ajira ukapange chumba chako jamaa kulikia umeme maji usafi na kujihudumia kwa mshahara wa TGS Z ....unazingua kila tarehe 39.

Akili itakuwa sawa....kuku akifungwa kamba huanza kucheza mpira....
 
Sasa kama ina kuuma si uchukue hatua Acha uzembe bila ngono mbona inawezekana.
 
Nitafute in box,hizo ni pepo mahaba zinakusumbua,na tiba ya mapepo ya namna hiyo tiba yake ni maombi na sivingenevyo! Yanatakiwa kukemewa ila hatuwa ya kwanza ni ww kuchukua shauri ya Kumkiri Yesu Kristo kuwa na mwokozi katika maisha yako yote!
 
kama huna jambo la kufanya njoo hata hapa kwetu kijiweni tukufundishe hata kucheza draft. au kama vipi nenda hata vibanda umiza kaangalie movie mpaka mida mibovu, kisha nenda ukalale. ukiona bado unawaza kusafisha rungu, basi njoo hapa msasani karibu ccbrt kwa wahaya, goli moja sh 3000. kama ukiwa na sh15000 unapiga bao zako5 za nguvu. kama hutolizika basi kabadili jinsia.
 
Huenda utakua na shida ya wingi wa testesterone au vichocheo vinavyohusiana na activeness ya viungo vya kujamiiaana pamoja na emotions. Nadhani uende tu hosp utapata msaada. Ikishindikana join huduma ya maombezi ufanyiwe maombi
Asante ushauri mzuri. tena Mimi ni zaidi ya muri uzi. Yani Naisi punyeto imeniafect. Siwez lala bila kutupa wazungu weupe. Usiku nikishtuka sipati usingzi. Nakuta mzee kasimama kama sina mwanamke pemben napiga nyeto ndyo usingzi unarudi.

Nikikutana na mwanamke mwenye amsha amsha naweza kupiga mashine zaidi ya masaa 3 bila kupizi. Yani kupizi mpaka niamue mwenyewe.
 
Utakuwa kula kulala wewe ndiyo maana.. Tafuta kazi ya kufanya uone kama utapata huo muda...
 
Mkuu! Kuwa na mpenzi mmoja inawezekana na kujicontrol pia inawezekana lkn kwakua umeweka neno hili la haiwezekani ktk akili yako ndo maana haiwezekani hata tukikuombea au kukupigia dua haitawezekana CHAMSINGI weka neno inawezekana kwanza ktk akili yako
 
Wana JF,

Kuna kitu kinanisumbua kwa muda mrefu sasa nimekuwa na tatizo yani nafanya mapenzi kupata kiasi siwezi kumaliza siku mbili hata nikiacha kufanya.

Niko radhi nipige hata punyeto yani nahisi hata nina majini sina raha kuna siku naweza kufanya hata nawanawake 3 tatizo limekuwa sugu siwezi kuwa na girl mmoja hawezi kunvumilia sasa tatizo sijui ni nini.

Naomba msaada jamani litakuwa tatizo gani.
Wewe ni jinsia gani
 
Asante ushauri mzuri. tena Mimi ni zaidi ya muri uzi. Yani Naisi punyeto imeniafect. Siwez lala bila kutupa wazungu weupe. Usiku nikishtuka sipati usingzi. Nakuta mzee kasimama kama sina mwanamke pemben napiga nyeto ndyo usingzi unarudi.

Nikikutana na mwanamke mwenye amsha amsha naweza kupiga mashine zaidi ya masaa 3 bila kupizi. Yani kupizi mpaka niamue mwenyewe.
Hta Mimi hili ni ttzo languu kubwwaa yan nkipg nyeto ni dakka tu nakojoa nkiwa na dem hta masaa 6
 
Oa wanawake wanne, ile sheria iliwekwa kwa watu kama nyie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom