Wapare wana tabia za nusu pwani na nusu bara wakati wachaga wana tabia za total bara. Kwa kusema hivyo fatilia tabia za wabara na watu wa pwani utapata majibu halisi.
Hili jambo la kila kukicha wanateua tume wakati mambo yote yako wazi ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi kwani nikupeana ulaji tu kwa wajumbe. Hakuna jipya litakalotolewa zaidi ya kutunga tamthilia yenye seasons nyingi tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.