Recent content by GITWA

  1. GITWA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kufanya ziara nchini Urusi kuanzia Juni 3 hadi Juni 5, 2026

    Nenda rudi salama uaduini unamofikiria
  2. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Nilishaona zote 2 mkuu
  3. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Nilijua tu hutaniacha salama.
  4. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Inaitwaje hii
  5. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Nipe nondo na hongera kwa ubingwa wa England ila huko UEFA waachie vidume😁😁
  6. GITWA

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nitakutafuta kesho kwenye hiyo mitaa yetu ngoja nilale sasa.
  7. GITWA

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nishaiona hiyo, nipo na upelelezi wa The caged swordsman. Pole kwa yaliyokupata leo.
  8. GITWA

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Asenyeto wamemaliza season one ya UEFA sasa tunasubiri season two sijui itakuwa lini?
  9. GITWA

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mtoto hala
  10. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Leo tunahitimisasha safari ndefu yenye mabonde na miinuko katika msimu wa 2025-2026. Sijui itakuwaje msimu ujao.
  11. GITWA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Swali: Kwanini Wanawake wa Kipare wanajiona wao ndio wana Soko kubwa sana kwenye Mahusiano tofauti na Wanawake wa Kichagga?

    Wapare wana tabia za nusu pwani na nusu bara wakati wachaga wana tabia za total bara. Kwa kusema hivyo fatilia tabia za wabara na watu wa pwani utapata majibu halisi.
  12. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwa Ufupi: Jitihada za Kuikwepa ICC zinaendelea....

    Hili jambo la kila kukicha wanateua tume wakati mambo yote yako wazi ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi kwani nikupeana ulaji tu kwa wajumbe. Hakuna jipya litakalotolewa zaidi ya kutunga tamthilia yenye seasons nyingi tu.
  13. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sahizi nahamia huko, naona timu yangu inaweza kunitoa roho. Ila we will come back strong. Asante kwa chuma maridadi.
  14. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Naona mwaka huu maisha umeyapatia. Hatupumui
  15. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Du!?? Chelsea yangu inatia huruma. Anyway niliipenda mwenyewe ngoja nivumlie " No permanent situation"
Back
Top Bottom