Recent content by GITWA

  1. GITWA

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi amchana Lissu na CHADEMA kwa kuleta mizaha kwenye harakati za kukomboa Taifa kufuatia salamu za Lema na Lissu kwa kifo cha mume wa Rais

    Wale waliosoma fasihi wanajua ujumbe wa Lisu wa pole. Huyo Mange hajui falsafa ya Lisu.
  2. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mnatujazia Server hapa sisi Chelsea tunawachora. Hatujafungwa kelele kibao utafikiri madem wa vilabu vya pombe za kienyeji.
  3. GITWA

    JamiiForums Tanzania Wamasai wenye rasta walitulizwa na Masai rapa, mwenda pole hajikwai, alijikwaa baada ya kutegwa na jiwe kubwa, hakunyanyuka tena!

    Du!? Kwa code hizi najuta kukimbia shule.
  4. GITWA

    JamiiForums Tanzania Dalili ya mvua ni mawingu

    Nini tena huko
  5. GITWA

    JamiiForums Tanzania Je yawezekana siku Moja akatokea Rais akaomba kukaa pembeni kisa suala la Afya?

    Haya mambo yanafikirisha. Mimi ni sawa na Tomaso. Naamini muda ni msema kweli.
  6. GITWA

    JamiiForums Tanzania Tahadhari! Bahari Ina Roho Na Inaweza Kukuua

    Binadamu anazama kwa siku tatu baada ya hapo lazima maiti yake ielee juu ya maji na kusukumwa ufukweni. Labda awe maliwa na samaki au wanyama wa majini.
  7. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hii lineup sijaelewa kabisa yaani morgan anacheza kiungo au kiungo ni mmoja tu Lavia?
  8. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Haya mambo yalikuwapo toka zamani ni vile tu kulikuwa hakuna mitandao ya kujua kila kitu na kusambaza habari. Tumeagana sana tu na ma X wetu kabla ya kuolewa.
  9. GITWA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tuko vizuri kisiasa lakini mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari, Tunaendelea kupokea matakwa yake

    Du! Au mimi ndio sielewi au nimepoteza kumbukumbu hata sijui. Hivi Tanzania bado tuna MARAIS wastaafu au tuna RAIS mstaafu?! Nimemsikia mkuu wa nchi akisema MARAIS wastaafu wakati kumbukumbu zangu zinaniambia tuna RAIS mstaafu. Maana wengine wameshatangulia mbele za haki. Kwa mantiki hiyo...
  10. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kuna pesa vilevile Chelsea watapewa na FIFA kutokana na wachezaji wake walioshiriki kwenye mashindano ya kombe la Dunia.
  11. GITWA

    JamiiForums Tanzania “Intelligent Businessman” popote ulipo tundoe wasiwasi wanao!

    Pole sana, nimefarijika umeonyesha uwepo wako. Kwenye hivi vigongo vipo ambavyo nimeishaviona na ambavyo sijaviona nitavifatiria.. Fanya uchukue nesi mmoja kabisa usiishie kujua harufu zao tu.
  12. GITWA

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Kweli mwasifika kwa mashairi yenu mwanana. Hapa nitarudi, kusoma tungo mwanana. Hakika mwafurahisha, kwa tungo za zilizosoma. Vipaji vipo hapa, wanangezi waje kusoma. Jf yatamalaki, kuwatunza watu adabu. Karibuni visononko, kuja kuiba mistari. Tamati sifiki, bali nasikilizia wazushi...
  13. GITWA

    JamiiForums Tanzania “Intelligent Businessman” popote ulipo tundoe wasiwasi wanao!

    Huyu ni mtu wangu wa nguvu katika nyanja za burudani. Uwepo wake ni muhimu.
  14. GITWA

    JamiiForums Tanzania “Intelligent Businessman” popote ulipo tundoe wasiwasi wanao!

    Kweli anyooshe mkono tuhakiki uwepo wake.
Back
Top Bottom