Recent content by GITWA

  1. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwanini matukio ya Ngono za Kuagana kabla ya Harusi yanashika kasi Tanzania?

    Haya mambo yalikuwapo toka zamani ni vile tu kulikuwa hakuna mitandao ya kujua kila kitu na kusambaza habari. Tumeagana sana tu na ma X wetu kabla ya kuolewa.
  2. GITWA

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tuko vizuri kisiasa lakini mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari, Tunaendelea kupokea matakwa yake

    Du! Au mimi ndio sielewi au nimepoteza kumbukumbu hata sijui. Hivi Tanzania bado tuna MARAIS wastaafu au tuna RAIS mstaafu?! Nimemsikia mkuu wa nchi akisema MARAIS wastaafu wakati kumbukumbu zangu zinaniambia tuna RAIS mstaafu. Maana wengine wameshatangulia mbele za haki. Kwa mantiki hiyo...
  3. GITWA

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kuna pesa vilevile Chelsea watapewa na FIFA kutokana na wachezaji wake walioshiriki kwenye mashindano ya kombe la Dunia.
  4. GITWA

    JamiiForums Tanzania “Intelligent Businessman” popote ulipo tundoe wasiwasi wanao!

    Pole sana, nimefarijika umeonyesha uwepo wako. Kwenye hivi vigongo vipo ambavyo nimeishaviona na ambavyo sijaviona nitavifatiria.. Fanya uchukue nesi mmoja kabisa usiishie kujua harufu zao tu.
  5. GITWA

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Kweli mwasifika kwa mashairi yenu mwanana. Hapa nitarudi, kusoma tungo mwanana. Hakika mwafurahisha, kwa tungo za zilizosoma. Vipaji vipo hapa, wanangezi waje kusoma. Jf yatamalaki, kuwatunza watu adabu. Karibuni visononko, kuja kuiba mistari. Tamati sifiki, bali nasikilizia wazushi...
  6. GITWA

    JamiiForums Tanzania “Intelligent Businessman” popote ulipo tundoe wasiwasi wanao!

    Huyu ni mtu wangu wa nguvu katika nyanja za burudani. Uwepo wake ni muhimu.
  7. GITWA

    JamiiForums Tanzania “Intelligent Businessman” popote ulipo tundoe wasiwasi wanao!

    Kweli anyooshe mkono tuhakiki uwepo wake.
  8. GITWA

    JamiiForums Tanzania Uzi wa Kumbukumbu: Wazee wa miaka ya 70, 80, na 90 tukutane hapa kushusha picha za vitu vyetu vya zamani na ku share story ya vitu hivi

    Kuna ile betri zinaishanguvu mnaanika juani mchana mpaka jioni zinakuwa zishajichaji kiasi. Hapo usiku mnaendelea kuzitumia kusikiliza redio. Ilikuwa mpaka betri ijinyee ndio unaikatia tamaa.
  9. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kauli za Sheikh Mwaipopo; athari zake kwa jamii, ukimya wa polisi na fundisho la Rwanda 1994

    Hakika mkuu nauona mwisho wake wenye mashaka mengi sana. Amejigeuza toilet paper. Anafikiri hizi ni zama zile za kuambiwa CUF wameingiza majambia na watu wakaamini. Zama zimebadilika.
  10. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kauli za Sheikh Mwaipopo; athari zake kwa jamii, ukimya wa polisi na fundisho la Rwanda 1994

    Kwa sasa anajua anachokifanya ila mambo yakibadilika huko siku za usoni hatakuwa anajua alichokufanya.
  11. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kauli za Sheikh Mwaipopo; athari zake kwa jamii, ukimya wa polisi na fundisho la Rwanda 1994

    Behind the scene. Huyu shehe hajitambui anaweza kujikuta katika wakati mbaya asioutarajia. Hebu vuta picha kuwa ametumika ili kuwatisha watu tu na hana uwezo wa kufanya aliyoyasema. Alafu ikatokea watu (kikundi) kisichohusiana na yeye kikaanza kutekeleza kwa vitendo hayo aliyoyaesema. Je...
  12. GITWA

    JamiiForums Tanzania Wazanzibari waanza kufukuza Watanganyika, Tazama hii video. Mamlaka husika zisikae Kimya

    Nani ataweza kumuhoji msimamizi hapo wakati mtoa taarifa naye ni kibarua. Nadhani baada ya taarifa hii mamlaka ndio inatakiwa kukanusha. Pili aliyerekodi anaongea kwa sauti kubwa kiasi kwamba wanaorekodiwa wanamsikia kama angekuwa anaongea uongo kungekuwa na hali tofauti kwa wanaorekodiwa...
  13. GITWA

    JamiiForums Tanzania Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Haya ndio mambo napenda pamoja na kichaa wangu Intelligent businessman
Back
Top Bottom