Kweli mwasifika kwa mashairi yenu mwanana.
Hapa nitarudi, kusoma tungo mwanana.
Hakika mwafurahisha, kwa tungo za zilizosoma.
Vipaji vipo hapa, wanangezi waje kusoma.
Jf yatamalaki, kuwatunza watu adabu.
Karibuni visononko, kuja kuiba mistari.
Tamati sifiki, bali nasikilizia wazushi...